Afisa wa UN: Tathmini za awali zinaonyesha tutapoteza watu wengi kwa mripuko wa corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-HnIfupko01o/Xn-eqIiDPiI/AAAAAAALlbQ/m_o7DYB-snA5gAJlVg7LMMrE2Q527DUJQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv725e06959511mcp1_800C450.jpg)
Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Kiuchumi na Kijamii ya Umoja wa Mataifa kwa ajili ya Magharibi ya Asia (ESCWA) amesema, matokeo hasi ya mripuko wa kirusi cha corona ni ya kutisha.
Kwa mujibu wa gazeti la Al-Yaumu-Sabi'i, Dakta Rola Dashti amesema: "Tathmini za awali kuhusu matokeo hasi ya mripuko wa kirusi cha corona zinatisha mno, kwa sababu tutapoteza watu wengi, hali ambayo haiwezi kufidika."
Katibu Mtendaji wa ESCWA ameongeza kuwa, ajira nyingi zitapotea kutokana na mripuko wa corona,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog12 Apr
CORONA: WATU WENGI WAKO MAJUMBANINA KUFANYA MTIKISIKO WA ARDHINI KUPUNGUA
![Empty streets in Paris](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/4289/production/_111633071_whatsubject.jpg)
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya corona: Watu wengi wako majumbani na kufanya mtikiso wa ardhini kupungua
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: Mwananume anayezika watu waliokufa kwa corona India
5 years ago
BBCSwahili02 May
Virusi vya corona: Watu 24 wapatikana na maambukizi ya corona kwa siku moja Kenya
5 years ago
BBCSwahili20 May
Virusi vya Corona: Ushahidi wa awali waonesha jinsi inavyoweza kufundisha mfumo wa kinga kudhibiti corona
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Virusi vya corona: Wizara ya fedha yatuma dola bilioni 1.4 za corona kwa watu waliokufa
10 years ago
GPLKWA NINI WATU WENGI HAWAFANIKIWI MAISHANI?- 8
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH0SmRS32IjVEtH7V9ZNtDSNOgbkWksobqlVKu-5HSHvq*CafodgkjqjkvmA8L69b297cwbhrJFghkcYpkJrAbqu/frontpageyoungmancopingstress1.jpg)
KWA NINI WATU WENGI HAWAFANIKIWI MAISHANI?
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-VJH7VJ2YEIw/XnWsOaANfOI/AAAAAAACJAw/7e1qz7ZIio81MQAv-0ncLfgaXkbcv4cZQCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
WATU 627 WAFARIKI KWA SIKU MOJA NCHINI ITALY KUTOKANA NA CORONA, SASA YATUMIA WANAJESHI KUZUIA WATU KUTOKA MAJUMBANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VJH7VJ2YEIw/XnWsOaANfOI/AAAAAAACJAw/7e1qz7ZIio81MQAv-0ncLfgaXkbcv4cZQCLcBGAsYHQ/s320/images.jpeg)
ITALIA imeamua kuwatumia wanajeshi ili kuongeza nguvu ya kuzuia watu kutoka nje, Jana, Ijumaa Machi 20, 2020, huku maafisa wakisema watu 627 wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Corona katika kipindi cha saa 24.
Idadi hii ya vifo ndiyo kubwa zaidi kutokea ndani ya siku moja duniani tangu mlipuko wa ugonjwa huu utokee nchuni China.
Kupoteza matumaini kwa baadhi ya watu kumeanza kuonekana Kaskazini mwa nchi hiyo hususan kwenye jimbo lililloathirika zaidi la Lombardy ambako kwa...