Yanga yamaliza uteja
YANGA imezidi kujikita kileleni katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga Mtibwa Sugar kwa mabao 2-0, mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania10 Mar
Pluijm achoka na uteja Yanga
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Van Der Pluijm, amesema kama ataendelea kukinoa kikosi hicho, anaamini atafuta uteja wa kufungwa na watani wao wa jadi, Simba, ambao mara yao ya mwisho kuwafunga katika ligi ilikuwa msimu wa 2012/ 2013.
Yanga, ikiwa inanolewa na kocha Mholanzi, Ernest Brandts, iliibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Simba Mei 19, 2013, huku Wanajangwani hao wakiweza kuibuka mabingwa wa msimu huo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, baada ya kufungwa bao...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4iGaxqd06EQ/VPx2jsnrWbI/AAAAAAAHIsg/3Osl20m5li4/s72-c/MMGL0506.jpg)
YANGA YAENDELEZA UTEJA KWA SIMBA,YAPIGWA KIKOJA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-4iGaxqd06EQ/VPx2jsnrWbI/AAAAAAAHIsg/3Osl20m5li4/s1600/MMGL0506.jpg)
Umati wa Washabiki wa Timu ya Simba ukiwa umefurika uwanja wa Taifa jijin Dar es salaam kuipa sapoti timu yao ambayo haikuwaangusha leo,baada ya kuwatandika bao 1 - 0 watani zao wa jadi Yanga,lililotiwa kimiani kwa umaridadi mkubwa na Mshambuliaji,Emmanuel Okwi mnamo dakika ya 52 ya mchezo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8caZsyog850/VPx2KFugA2I/AAAAAAAHIp0/pUZzaNTrEso/s1600/MMGL0169.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PySa0aQGiVw/XmVDgcDnCSI/AAAAAAALiDw/6xik87wt1G8bbU04TwqVCx5RXwkHkXviACLcBGAsYHQ/s72-c/70d0c800-7093-40fd-aace-fa981af494a5.jpg)
YANGA YAMALIZA UKAME WA USHINDI DERBY YA KARIAKOO BAADA YA MIAKA MINNE
![](https://1.bp.blogspot.com/-PySa0aQGiVw/XmVDgcDnCSI/AAAAAAALiDw/6xik87wt1G8bbU04TwqVCx5RXwkHkXviACLcBGAsYHQ/s640/70d0c800-7093-40fd-aace-fa981af494a5.jpg)
Na Yassir Simba, Michuzi Tv
Mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga uliopigwa leo katika dimba la Taifa jijini Dar es Salaam umemalizika kwa Yanga timu ya wananchi kuibuka na ushindi wa bao 1 kwa 0
Mchezo huo uliopigwa majira ya saa 11:00 jioni uliamuliwa kwa adhabu ndogo yaani free nje kidogo la lango la Simba mara baada ya kiungo wa Simba Jonas Gerald Mkude kumfanyia madhambi Benard Morrison katika dakika ya 43 ya mchezo ndipo muamuzi wa mchezo huo kutoka Morogoro Martin Sanya kuamuru...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s72-c/Simba-vs-Yanga-pic.png)
YANGA NI ZAIDI YA MCHARO WAWALIZA SIMBA KWEUPEEE GOLI 2 BILA MAJIBU UTEJA KWA SIMBA KWISHINEIIIIIII!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s640/Simba-vs-Yanga-pic.png)
9 years ago
Mwananchi27 Sep
Tambwe, Busungu wafuta uteja
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4ZZJy3ZUOeXo7xLCIypd16Wq4OOfV1CZ2Vllbp1wnkHW5c8Qu51c1m8dyCwMtjbxvShhseqx402Y2rMW-7HDjzGNU1Fao4a/rayc6.png?width=650)
MAISHA YA UTEJA YA RAY C HADHARANI
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Kitale: Uteja una mwisho wake
Mkali wa vichekesho nchini, Musa Kitale ‘Mkude Simba’.
Ibrahim Mussa, Dar es Salaam
MKALI wa vichekesho nchini, Musa Kitale ‘Mkude Simba’ amefunguka kuwa siku zote amekuwa akipenda kuigiza kama mtu anayetumia madawa ya kulevya, anaamini kuwa itafika kipindi atakuja na mtindo mwingine ambao utakuwa gumzo zaidi.
Akizungumza na Mikito Jumatano, Kitale alisema amekuwa akitumia mtindo huo kwa ajili ya kutoa somo kwa vijana wa Kitanzania namna vijana wanavyoathirika na utumiaji wa madawa hayo huku...
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Real kufuta uteja kwa Liverpool