Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YANGA YAMALIZA UKAME WA USHINDI DERBY YA KARIAKOO BAADA YA MIAKA MINNE



Na Yassir Simba,  Michuzi Tv

Mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga uliopigwa leo katika dimba la Taifa jijini Dar es Salaam  umemalizika kwa Yanga timu ya wananchi kuibuka na ushindi wa bao 1 kwa 0

Mchezo huo uliopigwa majira ya saa 11:00 jioni uliamuliwa kwa adhabu ndogo yaani free nje kidogo la lango la Simba mara baada ya kiungo wa Simba Jonas Gerald Mkude kumfanyia madhambi Benard Morrison katika dakika ya 43 ya mchezo ndipo muamuzi wa mchezo huo kutoka Morogoro Martin Sanya kuamuru...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

STEVE JOB AKUMBUKWA BAADA YA KIFO CHAKE MIAKA MINNE ILIYOPITA

MWASISI mwenza wa kampuni la zana za kompyuta la Apple, Steve Jobs, amekumbukwa leo na kampuni lake na walimwengu baada ya kufariki miaka minne iliyopita. Mwasisi mwenza wa kampuni la zana za Kompyuta la Apple, Steve Jobs. Kiongozi wa kampuni hilo, Tim Cook, na viongozi wengine wa kampuni hilo waliadhimisha tukio hilo kwa kummwagia sifa mwenzao huyo aliyefariki na kuliachia sifa kubwa kampuni hilo maarufu duniani. Katika...

 

11 years ago

CloudsFM

BAADA YA KIMYA CHA MIAKA MINNE RAY C ATANGAZA UJIO MPYA KIMUZIKI

Staa nguli wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila ‘Ray C’ kupitia account yake ya ‘instagram’ ametangaza ujio wake mpya kimuziki.

ray c ameandika “ray c the singer is back!!!!!!! napenda kuwajulisha mashabiki kuwa kuanzia sasa muda wowote,saa yoyote,dakika yoyote,siku yoyote kuanzia sasa single yangu mpya mshummshum/walimwengu itaanza kusikika kwenye simu zenu plus kwa wale wapenzi wa mitandao kama mimi ya facebook,twitter,instagram,google,youtube,blogs na websites mbalimbali mtaweza.....kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Malindi yamaliza Makocha kwa ushindi

KLABU ya soka ya Malindi imetoka kidedea mbele ya timu ya New Afrika kwa ushindi wa mabao 2-0 katika mchezo wa Kombe la Makocha uliochezwa juzi Uwanja wa Amaan mjini Unguja.

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA YAANZA KUKAA KILELENI BAADA YA USHINDI WA 2 BILA MAJIBU UWANJA WA TAIFA LEO



Donald Ngoma akishangilia goli lake kwa kumkumbatia kocha mkuu wa timu ya Yanga Hans van der Pluijm
Simon Msuva akishangilia baada ya kufunga goli lka kwanza wakti Yanga ikicheza dhidi ya Coasta Union kwenye uwanja wa Taifa
Mabingwa watete wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Yanga SC leo imefanikiwa kuanza vyema kuutetea ubingwa wake kwa kuibuka na ushindi wa oli 2-0 mbele ya Coastal Union ya jijini Tanga kwenye mchezo pekee wa ligi uliopigwa leo jioni kunako dimba la Taifa.
Goli la...

 

10 years ago

Habarileo

Yanga yamaliza uteja

YANGA imezidi kujikita kileleni katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga Mtibwa Sugar kwa mabao 2-0, mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini hapa.

 

10 years ago

Vijimambo

SIKILIZA WALICHOKISEMA STANSLAUS MABULA (CCM) BAADA YA USHINDI PAMOJA NA EZEKIEL WENJE (CHADEMA) BAADA YA KUSHINDWA.

Stanslaus Shing'oma Mabula akiongea na wanahabari usiku wa kuamkia jana Octoba 27,2015 muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi wa Ubunge Jimbo la Nyamagana (CCM)

BONYEA PLAY HAPA CHINI KUSIKILIZA Ezekiel Dibogo Wenje (Chadema) akiongea na wanahabari muda mfupi kabla ya matokeo kutangazwa usiku wa Kuamkia jana.Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi Jijini Mwanza ambae pia ni Kaimu Mkurugenzi wa Jiji hilo Titho Mahinya akitangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu Jimboni Nyamagana.

 

10 years ago

TheCitizen

Simba clobber Yanga in derby

The National Stadium turned into a sea of red and white yesterday when rejuvenated Simba beat their traditional foes Young Africans 2-0 in a special derby dubbed the battle of the titans.

 

9 years ago

Global Publishers

Miaka Minne Ndani ya Mapango ya Amboni – 42

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Kikosi kingine cha askari kikaingizwa ndani ya pango hilo kuhakikisha kama wale watu tuliosema wameuawa, wameuawa kweli. Askari hao waliambiwa kama watakuta maiti zao watoke nazo.

Baada ya mawasilino kufanyika, gari la hospitali likawasili, Waandishi wa habari na wananchi walikuwa wametuzonga wakituhoji maswali lakini polisi waliwaondoa.
Tukapakiwa kwenye gari la hospitali na kupelekwa Hospitali ya Bombo ya jijini Tanga.
SASA ENDELEA…

Wakati tunafikishwa katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani