YANGA YAANZA KUKAA KILELENI BAADA YA USHINDI WA 2 BILA MAJIBU UWANJA WA TAIFA LEO
Donald Ngoma akishangilia goli lake kwa kumkumbatia kocha mkuu wa timu ya Yanga Hans van der PluijmSimon Msuva akishangilia baada ya kufunga goli lka kwanza wakti Yanga ikicheza dhidi ya Coasta Union kwenye uwanja wa Taifa
Mabingwa watete wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Yanga SC leo imefanikiwa kuanza vyema kuutetea ubingwa wake kwa kuibuka na ushindi wa oli 2-0 mbele ya Coastal Union ya jijini Tanga kwenye mchezo pekee wa ligi uliopigwa leo jioni kunako dimba la Taifa.
Goli la...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uLJKC9Kh5w0/UxHRLrp8meI/AAAAAAAFQak/HMg_Zc49ioI/s72-c/8.jpg)
SIMBA SC HAWAJANG’OA VITI TENA TAIFA LEO ?, BAADA YA KUPIGWA BAO 1 BILA MAJIBU NA WAKATA MIWA WA KAGERA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uLJKC9Kh5w0/UxHRLrp8meI/AAAAAAAFQak/HMg_Zc49ioI/s640/8.jpg)
Licha ya Simba kusajili wachezaji nyota kutoka Uganda, Kagera Sugar FC wamelitamba kuivuruga tena kwa kuipa kichapo katika mechi yao leo na wamefanya hivyo kweli. Simba wanafanya kila wawezavyo kuwafunga watani wao wa jadi lakini wanvyo kutana na timu zingine ni nyanya tena hile ya masalo pale tandale jalalani.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/mr.png)
9 years ago
StarTV14 Aug
Taifa Stars yaanza mazoezi bila wachezaji wa Yanga, Azamfc.
KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kimeanza mazoezi katika uwanja wa Karume kujiandaa na mchezo dhidi ya Nigeria kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya Afrika mwaka 2017 nchini Gabon.
Wachezaji wa Taifa Stars chini ya kocha wake mkuu Charles Mkwasa watakua wakijifua mara mbili kwa siku asubuhi na jioni katika uwanja wa Karume katika kujiweka fit na maandalizi ya mchezo huo.
Kufuatia baadhi ya wachezaji kuwa na majukumu na timu zao kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Hisani...
9 years ago
Mtanzania05 Dec
Man City kuendelea kukaa kileleni leo?
MANCHESTER, ENGLAND
MICHUANO ya Ligi Kuu nchini England inatarajia kuendelea leo katika viwanja mbalimbali, huku Stoke City wakiwa kwenye uwanja wa nyumbani na kuwakaribisha vinara wa michuano hiyo, Manchester City.
Huu ni mchezo ambao utatazamwa sana kutokana na nafasi hiyo ambayo inashikiliwa na Manchester City ikiwa ipo sawa na Leicester City, wote wakiwa na alama 29 katika msimamo wa Ligi, wakitofautiana mabao.
Mchezo huu Man City watautolea macho ili waweze kuondoka na alama tatu na...
10 years ago
GPLSIMBA ILIVYOICHAKAZA YANGA LEO UWANJA WA TAIFA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-IlPQKvHRGGo/VM5CNMSvMlI/AAAAAAAHArI/-nBf1qlnd3g/s72-c/MMGM0430.jpg)
YANGA, NDANDA ZATOKA SULUHU UWANJA WA TAIFA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-IlPQKvHRGGo/VM5CNMSvMlI/AAAAAAAHArI/-nBf1qlnd3g/s1600/MMGM0430.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-W1Ut4k7AS74/VM5COcG-zbI/AAAAAAAHArQ/l6aZMemQBTI/s1600/MMGM0449M.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-R13pogCyQsQ/VM5DifzcanI/AAAAAAAHArk/K80WpKAUSXs/s1600/MMGL0520.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vyrXVNIeDOo/VM5DiZ5cT_I/AAAAAAAHArc/9JNHJg82rQM/s1600/MMGL0562.jpg)
11 years ago
GPLYANGA WATOSHANA NGUVU NA AZAM UWANJA WA TAIFA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h9sIoZn20iE/VQWfZV1yspI/AAAAAAAHKfo/_g5KVCGgQeE/s72-c/MMGL0186.jpg)
yanga yatakata uwanja wa Taifa leo,Yawatungua wazimbabwe bao 5-1
![](http://2.bp.blogspot.com/-h9sIoZn20iE/VQWfZV1yspI/AAAAAAAHKfo/_g5KVCGgQeE/s1600/MMGL0186.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yCAfrHOCEuA/VQWffGVYAhI/AAAAAAAHKfw/Pp_GPHvl1Hc/s1600/MMGL0208.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uaQ1JO9l8Fw/VQWfmUlkZqI/AAAAAAAHKf4/NGA3LlUZCMY/s1600/MMGL0249.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JTnHaYUSmLs/VQWfrhCDEwI/AAAAAAAHKgA/88kmn_CDaGw/s1600/MMGL0271.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YxOUm2PcP0U/VQWfxBqBtMI/AAAAAAAHKgI/ypMpO3pzxm0/s1600/MMGL0384.jpg)
Picha na habari zaidi zitawajia punde.
11 years ago
MichuziSIMBA NA YANGA ZATOSHANA NGUVU UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO