Malindi yamaliza Makocha kwa ushindi
KLABU ya soka ya Malindi imetoka kidedea mbele ya timu ya New Afrika kwa ushindi wa mabao 2-0 katika mchezo wa Kombe la Makocha uliochezwa juzi Uwanja wa Amaan mjini Unguja.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PySa0aQGiVw/XmVDgcDnCSI/AAAAAAALiDw/6xik87wt1G8bbU04TwqVCx5RXwkHkXviACLcBGAsYHQ/s72-c/70d0c800-7093-40fd-aace-fa981af494a5.jpg)
YANGA YAMALIZA UKAME WA USHINDI DERBY YA KARIAKOO BAADA YA MIAKA MINNE
![](https://1.bp.blogspot.com/-PySa0aQGiVw/XmVDgcDnCSI/AAAAAAALiDw/6xik87wt1G8bbU04TwqVCx5RXwkHkXviACLcBGAsYHQ/s640/70d0c800-7093-40fd-aace-fa981af494a5.jpg)
Na Yassir Simba, Michuzi Tv
Mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga uliopigwa leo katika dimba la Taifa jijini Dar es Salaam umemalizika kwa Yanga timu ya wananchi kuibuka na ushindi wa bao 1 kwa 0
Mchezo huo uliopigwa majira ya saa 11:00 jioni uliamuliwa kwa adhabu ndogo yaani free nje kidogo la lango la Simba mara baada ya kiungo wa Simba Jonas Gerald Mkude kumfanyia madhambi Benard Morrison katika dakika ya 43 ya mchezo ndipo muamuzi wa mchezo huo kutoka Morogoro Martin Sanya kuamuru...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1i8muMJJfgA/U9t7JDECmlI/AAAAAAAF8Ok/ArMmA_yaWH0/s72-c/unnamed+(24).jpg)
makocha wa Timu ya Barcelona kutoa mafunzo ya makocha wa Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-1i8muMJJfgA/U9t7JDECmlI/AAAAAAAF8Ok/ArMmA_yaWH0/s1600/unnamed+(24).jpg)
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Azam yamaliza kwa Diouf, Ivo naye ndani ya Chamazi
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MxTtU2TR6YM/VgFVyO8V6MI/AAAAAAABIT4/ZByST_qwwsM/s72-c/MALINZI.jpg)
MALINZI AFUNGA KOZI YA MAKOCHA LESENI C’ATOA ANGALIZO KWA WAHITIMU KUYATUMIA MAFUNZO KWA VITENDO
![](http://4.bp.blogspot.com/-MxTtU2TR6YM/VgFVyO8V6MI/AAAAAAABIT4/ZByST_qwwsM/s640/MALINZI.jpg)
RAIS wa Shirikisho la soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, amefunga kozi ya wiki mbili ya makocha lesseni C inayotambuliwa na Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) na kuwataka wahitimu hao kufanyia kazi mafunzo waliyoyapata.
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kufunga mafunzo hayo, Malinzi amesema kuwa anasikitika kuona makocha wanapata mafunzo kama hayo lakini wanaenda kuweka vyeti vyao ‘makabatini’ na kuacha kufanyia kazi walichojifunza.
“Hiki mlichokipata kwenye mafunzo haya mnatakiwa...
10 years ago
VijimamboBonaza Masauni Cup Lafana Viwanja vya Malindi Mnazi Mmoja Miembeni Yatoka Kivua Mbele dhidi ya Rahaleo kwa Mabao 4---0
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Kilichompata Brandts si kipya kwa makocha
KUNA usemi juu ya makocha hasa wa soka ambao japo unaleta ukakasi ukiusikia kwa vile haupendezi, lakini ndio ukweli wa mazingira halisi ya kazi ya ukocha; kwamba huajiriwa kwa ajili...
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Tarimba akabidhi vyeti kwa makocha
WANG’AMUZI wa vipaji kwa ajili ya timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana walipatiwa vyeti na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) katika kutambua umuhimu wa kazi waliyofanya kuanzia hatua...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Makocha wapya Yanga waanza kwa mkwara
MAKOCHA wapya wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa na Juma Pondamali ‘Mensah’ wameanza kukinoa kikosi cha klabu hiyo huku wakiwaonya wachezaji hasa watovu wa nidhamu. Pondamali na Mkwasa wameanza kuinoa timu...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a3LxOokUORc/VmKaqZWALzI/AAAAAAAIKSY/gT9FkKrJZPo/s72-c/0fea2a57-74eb-4235-92b8-d88cfaab8820.jpg)
UN-ICTR Yamaliza Kazi yake Arusha, mpiganaji Danford Mpumilwa ashukuru kuhitimisha ngwe yake salama na kwa ufanisi