Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam yamaliza kwa Diouf, Ivo naye ndani ya Chamazi

Mabingwa wa Kombe la Kagame, Azam FC iwamemsainisha mkataba wa mwaka mmoja beki wa kati Msenegali Ricene Diouf baada ya kocha mkuu wa kikosi hicho, Stewart Hall kuridhishwa na kiwango chake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Ivo asema Azam FC habari nyingine

Mohamed Akida KIPA mpya wa Azam FC, Ivo Mapunda amesema hajutii uamuzi wake wa kujiunga na vinara hao wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kwani anaamini ndiyo timu bora Afrika Mashariki na Kati.

 

10 years ago

GPL

AZAM YAIZAMISHA RUVU SHOOTING HUKO CHAMAZI

Kipre Tcheche (Mwenye, jezi nyeupe) akiwatoka mabeki wa Ruvu. Sekeseke katika goli la Ruvu Shooting. Mashabiki wa Azam wakiishangilia timu yao.…

 

11 years ago

GPL

MNYAMA HOI TAIFA, AZAM YAAMBULIA SARE CHAMAZI

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba SC 'Mnyama' leo wamepokea kichapo cha bao 3-2 kutoka kwa JKT Ruvu katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Nao Azam FC waliokuwa wenyeji wa Tanzania Prisons wamelazimishwa sare ya bao 2-2 katika Uwanja wa Chamazi Complex jijini Dar.

 

10 years ago

Michuzi

FAINALI DARAJA LA KWANZA KUCHEZWA AZAM COMPLEX, CHAMAZI

Fainali ya kumsaka Bingwa wa Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara (FDL), inatarajiwa kufanyika kesho kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuanzia majira ya saa 10 kamili jioni kwa saa za Afrika Mashariki.
Awali mchezo huo wa fainali ulikuwa umepangwa kufanyika kesho kwenye dimba la Uwanja wa Taifa, lakini kutokana na sababu zilizopo nje ya uwezo wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TTF imepelekea mchezo huo kuhamishiwa Chamazi.

Mchezo huo wa fainali utaanza saa 10 kamili jioni, na...

 

11 years ago

GPL

KUWAONA SIMBA NA YANGA BUKU 5, AZAM KUKABIDHIWA KOMBE CHAMAZI

Michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara inafikia tamati kesho (Aprili 19 mwaka huu) kwa timu zote 14 kuwa viwanjani, huku mabingwa wapya Azam wakikabidhiwa kombe lao Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam katika mechi yao dhidi ya JKT Ruvu. Mechi zote saba zitachezwa kuanzia saa 10 kamili jioni ambapo Yanga na Simba zitakuwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kwa mechi ambayo viingilio vyake ni sh. 5,000...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani