Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ivo asema Azam FC habari nyingine

Mohamed Akida KIPA mpya wa Azam FC, Ivo Mapunda amesema hajutii uamuzi wake wa kujiunga na vinara hao wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kwani anaamini ndiyo timu bora Afrika Mashariki na Kati.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Azam yamaliza kwa Diouf, Ivo naye ndani ya Chamazi

Mabingwa wa Kombe la Kagame, Azam FC iwamemsainisha mkataba wa mwaka mmoja beki wa kati Msenegali Ricene Diouf baada ya kocha mkuu wa kikosi hicho, Stewart Hall kuridhishwa na kiwango chake.

 

11 years ago

GPL

IVO, CANNAVARO WATEMWA STARS, MAKIPA WOTE WA AZAM WACHUKULIWA

Kipa wa Simba, Ivo Mapunda. KOCHA Msaidizi wa Taifa Stars, Salum Mayanga amewaacha kipa Ivo Mapunda wa Simba SC na beki Nadir Haroub ‘Cannavaro’ wa Yanga SC katika kikosi chake cha wachezaji wengine 23 watakaoingia kambini kesho (Aprili 20 mwaka huu) kuungana na 16 waliotajwa awali kujiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi itakayochezwa Aprili 26 mwaka huu. Beki wa kati wa Yanga, Nadir Haroub...

 

10 years ago

GPL

JEURI YA FEDHA: APATA AJALI NA LAMBORGHINI YA MIL 675, ASEMA ATANUNUA NYINGINE KESHO YAKE

Lamborghini Gallardo baada ya kugonga mti na kuparamia vizuizi vya barabarani. KATIKA kuonyesha jeuri ya fedha, mmiliki mmoja wa gari aina ya Lamborghini Gallardo huko nchini England ametoa mpya baada ya kupata ajali na kuwaambia mashuhuda kuwa kesho yake angenunua gari lingine kama hilo. Gari hilo la thamani likiwa limeharibika baada ya ajali. Mmiliki huyo alipata ajali katika eneo la Beaumont Leys, Leicestershire baada ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ali Kiba ‘habari nyingine’ afunika Shoo ya Mwana Dar Live

Mwanamuziki Ali Kiba akizikonga nyoyo za mashabiki waliofurika Dar Live katika shoo yake ya Mwana Dar Live.

Mashabiki wa Ali Kiba wakishow love.

Ali Kiba na mdogo wake Abdul Kiba wakizidi kuwapagawisha mashabiki waliofurika ndani ya Dar Live.

Ali Kiba akizidi kuitawala steji la kupanda na kushuka la Dar Live.

Kwa picha na habari zaidi ya shoo hiyo ingia hapo chini

http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/ali-kiba-afunika-shoo-ya-mwana-dar-live

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Azam asema ni kama fainali leo

Kikosi cha Azam  jana kilifanya mazoezi ya  mwisho yaliyojaa ‘taaluma’ ya kutosha kabla ya  kuwavaa El- Merreikh ya Sudan katika robo fainali  ya pekee kwa aina yake kuwania Kombe la Kagame.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani