Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IVO, CANNAVARO WATEMWA STARS, MAKIPA WOTE WA AZAM WACHUKULIWA

Kipa wa Simba, Ivo Mapunda. KOCHA Msaidizi wa Taifa Stars, Salum Mayanga amewaacha kipa Ivo Mapunda wa Simba SC na beki Nadir Haroub ‘Cannavaro’ wa Yanga SC katika kikosi chake cha wachezaji wengine 23 watakaoingia kambini kesho (Aprili 20 mwaka huu) kuungana na 16 waliotajwa awali kujiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi itakayochezwa Aprili 26 mwaka huu. Beki wa kati wa Yanga, Nadir Haroub...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Cannavaro, Kiemba watemwa Taifa Stars

>Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’,   Nadir Haroub ‘Cannavaro’ na kiungo Amri Kiemba wameachwa katika  kikosi cha timu hiyo kinachotarajiwa kuondoka leo jioni kwenda Afrika  Kusini kushiriki mashindano ya Kombe la Cosafa.

 

10 years ago

CloudsFM

Makipa wa timu ya Simba,Ivo Mapunda na Juma Kaseja watembelea Jahazini.

Kipa wa Klabu ya Simba Ivo Mapunda akizungumza kwenye kipindi cha Jahazi leo.

 

10 years ago

Mwananchi

Nyota watano watemwa Taifa Stars

Kocha msaidizi wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Hemmed Morocco ametangaza kikosi cha wachezaji 24 watakaocheza na Malawi huku akiwaengua wachezaji watano waliokuwapo kwenye kikosi kilichoivaa Nigeria mwezi uliopita.

 

11 years ago

GPL

Cannavaro aikosa... Azam FC

Beki na nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’. Na Wilbert Molandi
BEKI na nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ anatarajiwa kuikosa mechi yenye upinzani mkubwa ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC. Mechi hiyo ni muhimu kwa beki huyo kucheza kutokana na aina ya washambuliaji wa Azam FC. Mtanange huo utapigwa Desemba 28, mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Cannavaro ataikosa...

 

9 years ago

Habarileo

Ivo asema Azam FC habari nyingine

Mohamed Akida KIPA mpya wa Azam FC, Ivo Mapunda amesema hajutii uamuzi wake wa kujiunga na vinara hao wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kwani anaamini ndiyo timu bora Afrika Mashariki na Kati.

 

11 years ago

Mwananchi

Cannavaro: Beki Taifa Stars tatizo

>Nahodha wa Taifa Stars, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ amesema safu yao ya ulinzi imekuwa ikifanya makosa mengi yanayoigharimu timu hiyo, lakini amewatoa hofu mashabiki kuwa hali hiyo haitajirudia kwenye mchezo ujao dhidi ya Msumbiji.

 

11 years ago

TheCitizen

Taifa Stars coach drops Mapunda and ‘Cannavaro’

Taifa Stars’ stand-in coach, Salum Madadi, has unveiled a 23-member squad for two international friendly matches against Burundi and Malawi.

 

10 years ago

Mwananchi

Azam yamaliza kwa Diouf, Ivo naye ndani ya Chamazi

Mabingwa wa Kombe la Kagame, Azam FC iwamemsainisha mkataba wa mwaka mmoja beki wa kati Msenegali Ricene Diouf baada ya kocha mkuu wa kikosi hicho, Stewart Hall kuridhishwa na kiwango chake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani