Nyota watano watemwa Taifa Stars
Kocha msaidizi wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Hemmed Morocco ametangaza kikosi cha wachezaji 24 watakaocheza na Malawi huku akiwaengua wachezaji watano waliokuwapo kwenye kikosi kilichoivaa Nigeria mwezi uliopita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 May
Cannavaro, Kiemba watemwa Taifa Stars
11 years ago
Mwananchi04 May
Taifa Stars kusafisha nyota leo?
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Kim anatumia vigezo vipi kuteua nyota Taifa Stars?
TANZANIA imekuwa ikifananishwa na kichwa cha mwendawazimu katika soka kutokana na kufanya vibaya kwa timu zake; iwe katika mashindano ya ngazi ya klabu hadi timu za taifa. Kwa upande wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N5pX7b1PS8acfkmHUvwzbPDwyxWKlD-0ZhrcAFeru7xuzuSKb1VCQPYiHyGqznsH3I1Gfpu2om04pjMPI5z7nn-/IvoMapunda6.jpg?width=640)
IVO, CANNAVARO WATEMWA STARS, MAKIPA WOTE WA AZAM WACHUKULIWA
11 years ago
Mwananchi04 May
Ruksa nyota watano wa kigeni
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Nyota watano waombewa ITC
WACHEZAJI watano wameombewa Hati ya Uhamisho ya Kimataifa (ITC) Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuwawezesha kucheza soka ya kulipwa nje ya Tanzania. Ofisa habari wa TFF, Boniface Wambura, aliwataja nyota...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s72-c/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS
![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s1600/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Nyota Stars kuanza kusakwa Februari 22
MICHUANO maalumu ya soka ya kushindanisha vikosi vya mikoa 22 ya Tanzania Bara kupata nyota wa timu ya Tanzania, Taifa Stars, itachezwa kuanzia Februari 22 hadi Machi 5. Hayo yalisemwa...
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Yanga yainyima Stars nyota saba