Nyota Stars kuanza kusakwa Februari 22
MICHUANO maalumu ya soka ya kushindanisha vikosi vya mikoa 22 ya Tanzania Bara kupata nyota wa timu ya Tanzania, Taifa Stars, itachezwa kuanzia Februari 22 hadi Machi 5. Hayo yalisemwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Mrithi wa Nangole CCM Arusha kuanza kusakwa leo
Chama cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Arusha leo kinaanza kutoa fomu kwa wanachama wake watakaowania nafasi ya kujaza nafasi ya mwenyekiti wa Mkoa wa Arusha na katibu wa itikadi na uenezi wa chama hicho kutokana na waliokuwa wakizishikilia kuhamia Chadema.
5 years ago
MichuziWADAIWA KODI YA PANGO LA ARDHI KUANZA KUSAKWA NCHI NZIMA
Na Munir Shemweta, WANMM DODOMA
Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanza operesheni maalum ya kuwasaka wadaiwa wote sugu ya kodi ya pango la ardhi na kuwafikisha katika vyombo vya sheria ili kufidia madeni wanayodaiwa.
Akizungumza na Wenyeviti na Watendaji wa Mitaa katika jiji la Dodoma leo tarehe 6 Machi 2020 Kamishna wa Ardhi nchini Nathaniel Methew Nhonge alisema opresheni hiyo inaanza leo kwa nchi nzima ambapo wamiliki wote waliopelekewa ilani za madai wanatakiwa kulipa madeni...
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Kesi ya Patel, Lundenga kuanza Februari
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga kuanza kusikiliza kesi ya madai Februari 10, 2015 iliyofunguliwa na mfanyabiashara Prantash Patel dhidi ya mkurugenzi wa Lino Agency, ambao ni waandaaji wa Miss Tanzania, Hashimu Lundenga.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3ZrbMlzWj8w/VONNJb9L57I/AAAAAAAHEKw/LOycC6Pkv7w/s72-c/9.jpg)
UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA MAKAMBAKO MKOANI NJOMBE FEBRUARI 23.
![](http://3.bp.blogspot.com/-3ZrbMlzWj8w/VONNJb9L57I/AAAAAAAHEKw/LOycC6Pkv7w/s1600/9.jpg)
Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa kutumia teknolojia ya uchukuaji wa alama za vidole (BVR) kwa mji mdogo wa Makambako mkoani Njombe utaanza Februari 23 hadi Machi 1 mwaka huu.
Kwa taarifa iliyotolewa katika vyombo vya habari na Ruth Masham kwa niaba ya Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) ilisema zoezi hilo litapita katika kata za Kitisi,Kivavi,Lyamkena,Maguvani,Majengo ,Makambako ,Mji Mwema,Mlowa,na Mwembetogwa na zoezi hilo litaanza majira ya saa 2...
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Yanga yazuia nyota wake Stars
Klabu ya Yanga imewazuia wachezaji wake watatu kujiunga na kambi ya timu ya Taifa, Taifa Stars, hadi pale watakapomaliza mechi yao ya leo dhidi ya Thika United ya Kenya.
11 years ago
Mwananchi04 May
Taifa Stars kusafisha nyota leo?
Taifa Stars inahitaji kusafisha nyota leo mbele ya mashabiki wa soka mkoani Mbeya na Tanzania kwa ujumla kwa kuitandika Malawi ‘The Flame’ katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki utakaochezwa kwenye Uwanja wa Sokoine jijini hapa
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Yanga yainyima Stars nyota saba
 Huku homa ya mchezo wa watani wa jadi ikipanda, Yanga imewazuia nyota wake saba kujiunga na kambi ya Taifa Stars inayojiandaa na mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Benin utakaofanyika Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Nyota watano watemwa Taifa Stars
Kocha msaidizi wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Hemmed Morocco ametangaza kikosi cha wachezaji 24 watakaocheza na Malawi huku akiwaengua wachezaji watano waliokuwapo kwenye kikosi kilichoivaa Nigeria mwezi uliopita.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-07_VvBwvhNk/UvTla-H8mkI/AAAAAAAFLmg/FhphMw_rlxU/s72-c/images+(1).jpg)
news alert: msanii wa filamu elizabeth kimemeta a.k.a lulu kuanza kujibu mashtaka ya kumuua bila kukusudia steven kanumba Februari 17
![](http://4.bp.blogspot.com/-07_VvBwvhNk/UvTla-H8mkI/AAAAAAAFLmg/FhphMw_rlxU/s1600/images+(1).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania