Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kim anatumia vigezo vipi kuteua nyota Taifa Stars?

TANZANIA imekuwa ikifananishwa na kichwa cha mwendawazimu katika soka kutokana na kufanya vibaya kwa timu zake; iwe katika mashindano ya ngazi ya klabu hadi timu za taifa. Kwa upande wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

NATOA HOJA : Kama vipi kocha wa Taifa Stars afanyiwe haya

Naingia ulingoni tena katika kona ya hoja, nikiwa na machache, ninataka kuyasema. Ukweli ni kwamba leo ninataka kumzungumzia kocha wa timu ya taifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Taifa Stars kusafisha nyota leo?

Taifa Stars inahitaji kusafisha nyota leo mbele ya mashabiki wa soka mkoani Mbeya na Tanzania kwa ujumla kwa kuitandika Malawi ‘The Flame’ katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki utakaochezwa kwenye Uwanja wa Sokoine jijini hapa

 

9 years ago

Mwananchi

Nyota watano watemwa Taifa Stars

Kocha msaidizi wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Hemmed Morocco ametangaza kikosi cha wachezaji 24 watakaocheza na Malawi huku akiwaengua wachezaji watano waliokuwapo kwenye kikosi kilichoivaa Nigeria mwezi uliopita.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Mafanikio ya elimu yanapimwa kwa vigezo vipi?

>Katika siku za hivi karibuni, Serikali imekuwa ikijigamba kuwa imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuimarisha sekta ya elimu nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Tunatumia vigezo vipi kupima ubora wa elimu yetu?

Waandishi Daniel Sifuna na Nobuhide Sawamura katika kitabu chao: ‘Challenges of Quality Education in Sub-Saharan African Countries,’ wanasema kuwa wasomi na wataalamu wa elimu duniani wanatofautiana katika kuelezea maana ya elimu bora au ubora wa elimu.

 

11 years ago

Mwananchi

Malinzi amwengua Kim uteuzi Stars

Siku za kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen zimeanza kuhesabika baada ya jana Shirikisho Soka Tanzania (TFF), kutangaza mikakati ya kusaka vipaji vya wachezaji bila ya kuhusisha Mdenmark huyo katika zoezi hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mjerumani kuchukua mikoba ya Kim Stars

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), linatarajia kumwajiri kocha mpya, Michael Krüger, raia wa Ujerumani, kurithi nafasi ya kocha mkuu wa timu ya soka ya taifa, Taifa Stars, Mdenish Kim Poulsen,...

 

11 years ago

Michuzi

KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS

Kocha mpya wa Taifa Stars, Mart Nooij ameongeza wachezaji tisa katika kikosi hicho kinachojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi (The Flames) itakayochezwa Mei 4 mwaka huu katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani