Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Mafanikio ya elimu yanapimwa kwa vigezo vipi?

>Katika siku za hivi karibuni, Serikali imekuwa ikijigamba kuwa imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuimarisha sekta ya elimu nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tunatumia vigezo vipi kupima ubora wa elimu yetu?

Waandishi Daniel Sifuna na Nobuhide Sawamura katika kitabu chao: ‘Challenges of Quality Education in Sub-Saharan African Countries,’ wanasema kuwa wasomi na wataalamu wa elimu duniani wanatofautiana katika kuelezea maana ya elimu bora au ubora wa elimu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kim anatumia vigezo vipi kuteua nyota Taifa Stars?

TANZANIA imekuwa ikifananishwa na kichwa cha mwendawazimu katika soka kutokana na kufanya vibaya kwa timu zake; iwe katika mashindano ya ngazi ya klabu hadi timu za taifa. Kwa upande wa...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Vipi Bodaboda wameachwa kuunda ‘serikali’?

>Kama kuna eneo ambalo tunadhani Serikali imeonyesha udhaifu mkubwa ni udhibiti wa usafiri wa pikipiki, maarufu kama Bodaboda. Waendesha Bodaboda hapa nchini sasa wanaweza kufananishwa na ‘serikali’ inayojitegemea yenye ‘jeshi’ la ulinzi na usalama.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Tumejiandaa vipi uchaguzi Serikali za Mitaa?

>Tangazo la Serikali siku chache zilizopita kwamba uchaguzi wa Serikali za Mitaa utafanyika Desemba, mwaka huu limepunguza wasiwasi uliokuwa umegubika suala hilo. Kwa kawaida maandalizi ya uchaguzi huo ambao hufanyika kila baada ya miaka mitano, huanza mapema kutokan

 

10 years ago

Mwananchi

Kawambwa aeleza vigezo uongozi elimu

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa ametoa agizo kuwa kuanzia sasa vigezo vya uteuzi wa viongozi katika sekta ya elimu, vitazingatia sifa ya kuwa na mafunzo ya uongozi na utawala katika elimu.

 

10 years ago

Vijimambo

MAONI YA MWIGULU NCHEMBA,FEDHA ZOTE ZILIZOSALIA BUNGE LA KATIBA ZIELEKEZWE KWA WALIOKOSA MIKOPO ELIMU YA JUU

EXCLUSEIVEEEEE KUTOKA DODOMA
COMRADE MWIGULU NCHEMBA AKATAA FEDHA ZA UMMA ZILIZOBAKIA BUNGE LA KATIBA KUTAFUNWA NA WAJUMBE WA BUNGE HILO,AAGIZA FEDHA ZOTE ZILIZOSALIA BUNGE LA KATIBA ZIELEKEZWE KUSAIDIA WANAFUNZI WALIOKOSA MIKOPO ELIMU YA JUU,KUJENGEA VITUO VYA AFYA NA KUSAIDIA MASIKINI.
Mwigulu Nchemba asema fedha zitakazookolewa kutokana na kutokuendelea bunge maalumu zipeslekwe kuwalipia ada vijana waliokosa mikopo ya elimu ya juu.

Sokoine wa Pili ndugu Mwigulu Nchemba ameshauri fedha...

 

10 years ago

Habarileo

Jk aagiza mafanikio elimu kuimarishwa

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amewataka wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi nchini kuimarisha mambo yote yaliyofanikiwa na kutatua matatizo kwenye maeneo yenye matatizo.

 

10 years ago

Mtanzania

Sera ya elimu ni mwelekeo mpya wa mafanikio

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru KawambwaNa Markus Mpangala

TANGU kutangazwa kwa mpango mpya wa elimu kumekuwa na maoni tofauti kuhusiana na suala hilo. Baadhi walikuwa wakishangazwa na mpango huo lakini wakakosa hoja za msingi kukosoa zaidi ya malalamiko ya kawaida na yaliyozoeleka.
Wakosoaji hawajatoa njia mbadala wala hawataki kuona mambo mazuri yaliyobuniwa. Binafsi ninadhani ni sahihi kubadili muundo wa elimu ambao kwa namna moja ama nyingine unatusaidia kuendelea kutumia nguvu za ujana kwa kutafuta maarifa zaidi kuliko...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani