MAONI: Mafanikio ya elimu yanapimwa kwa vigezo vipi?
>Katika siku za hivi karibuni, Serikali imekuwa ikijigamba kuwa imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuimarisha sekta ya elimu nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Tunatumia vigezo vipi kupima ubora wa elimu yetu?
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Kim anatumia vigezo vipi kuteua nyota Taifa Stars?
TANZANIA imekuwa ikifananishwa na kichwa cha mwendawazimu katika soka kutokana na kufanya vibaya kwa timu zake; iwe katika mashindano ya ngazi ya klabu hadi timu za taifa. Kwa upande wa...
10 years ago
Mwananchi11 Feb
MAONI: Vipi Bodaboda wameachwa kuunda ‘serikali’?
10 years ago
Mwananchi26 Sep
MAONI: Tumejiandaa vipi uchaguzi Serikali za Mitaa?
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Kawambwa aeleza vigezo uongozi elimu
10 years ago
Vijimambo![](http://lh5.ggpht.com/-CR99I05I4pA/VCRLaiXqgZI/AAAAAAAACPE/VOfXwupP5O8/s72-c/IMG_20140921_225237.jpg)
MAONI YA MWIGULU NCHEMBA,FEDHA ZOTE ZILIZOSALIA BUNGE LA KATIBA ZIELEKEZWE KWA WALIOKOSA MIKOPO ELIMU YA JUU
EXCLUSEIVEEEEE KUTOKA DODOMA
COMRADE MWIGULU NCHEMBA AKATAA FEDHA ZA UMMA ZILIZOBAKIA BUNGE LA KATIBA KUTAFUNWA NA WAJUMBE WA BUNGE HILO,AAGIZA FEDHA ZOTE ZILIZOSALIA BUNGE LA KATIBA ZIELEKEZWE KUSAIDIA WANAFUNZI WALIOKOSA MIKOPO ELIMU YA JUU,KUJENGEA VITUO VYA AFYA NA KUSAIDIA MASIKINI.
Mwigulu Nchemba asema fedha zitakazookolewa kutokana na kutokuendelea bunge maalumu zipeslekwe kuwalipia ada vijana waliokosa mikopo ya elimu ya juu.
Sokoine wa Pili ndugu Mwigulu Nchemba ameshauri fedha...
10 years ago
Habarileo05 Oct
Jk aagiza mafanikio elimu kuimarishwa
RAIS Jakaya Kikwete amewataka wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi nchini kuimarisha mambo yote yaliyofanikiwa na kutatua matatizo kwenye maeneo yenye matatizo.
10 years ago
Mtanzania20 Feb
Sera ya elimu ni mwelekeo mpya wa mafanikio
Na Markus Mpangala
TANGU kutangazwa kwa mpango mpya wa elimu kumekuwa na maoni tofauti kuhusiana na suala hilo. Baadhi walikuwa wakishangazwa na mpango huo lakini wakakosa hoja za msingi kukosoa zaidi ya malalamiko ya kawaida na yaliyozoeleka.
Wakosoaji hawajatoa njia mbadala wala hawataki kuona mambo mazuri yaliyobuniwa. Binafsi ninadhani ni sahihi kubadili muundo wa elimu ambao kwa namna moja ama nyingine unatusaidia kuendelea kutumia nguvu za ujana kwa kutafuta maarifa zaidi kuliko...