MAONI: Tumejiandaa vipi uchaguzi Serikali za Mitaa?
>Tangazo la Serikali siku chache zilizopita kwamba uchaguzi wa Serikali za Mitaa utafanyika Desemba, mwaka huu limepunguza wasiwasi uliokuwa umegubika suala hilo. Kwa kawaida maandalizi ya uchaguzi huo ambao hufanyika kila baada ya miaka mitano, huanza mapema kutokan
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Nov
Tumejiandaa vipi kwa mvua za el nino
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qqFxjgi9sKQ/U8kYyK3L9hI/AAAAAAAF3YY/uYKNkkaYlUo/s72-c/MMGM8382.jpg)
TAMKO LA KIKUNDI KAZI CHA SERIKALI ZA MITAA CHA POLICY FORUM KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-qqFxjgi9sKQ/U8kYyK3L9hI/AAAAAAAF3YY/uYKNkkaYlUo/s1600/MMGM8382.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nhubQhZpWwc/U8kYyb0ubPI/AAAAAAAF3Yc/vWolIRDUZ5Q/s1600/MMGM8396.jpg)
10 years ago
Mwananchi11 Feb
MAONI: Vipi Bodaboda wameachwa kuunda ‘serikali’?
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Tumejiandaa kisaikolojia na kura ya maoni?
10 years ago
StarTV16 Dec
Uchaguzi serikali za mitaa, Serikali yakiri kuwepo na kasoro lukuki.
Na, Winifrida Ndunguru
Dar Es Salaam.
15 December 2014
UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA: Serikali yakiri kuwepo na kasoro lukuki.
Serikali imekiri kuwepo kwa kasoro luluki katika uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika nchini kote Jumapili wiki hii likiwemo suala zima la mkanganyiko wa jina la mgombea kuonekana katika chama kingine.
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Hawa Ghasia, amesema kutokana na kasoro hizo ameitaka mikoa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tCT1FfmYvoo/VJF-a6yN8qI/AAAAAAACwkc/OBcRjuUWt3c/s72-c/HAWA%2BGHASIA.jpg)
SERIKALI YAWASIMAMISHA WAKURUGENZI WALIOSHINDWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
![](http://2.bp.blogspot.com/-tCT1FfmYvoo/VJF-a6yN8qI/AAAAAAACwkc/OBcRjuUWt3c/s1600/HAWA%2BGHASIA.jpg)
Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI leo imetangaza kuwasimamisha kazi Wakurugenzi watano (5) huku wengine wakipewa onyo kali katika utekelezaji wa majukumu yao.
Akithibitisha kusimamishwa kazi kwa Wakurugenzi hao,Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Mh. Hawa Ghasia amesema kwamba Wakurugenzi hao wametenda makosa yanayowaondolea sifa za kuwa Wakurugenzi.
“Makosa yafuatayo ndio yanayopelekea Wakurugenzi hawa kusimamishwa;Kuchelewa kuandaa vifaa vya...
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa walalamikiwa
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Uchaguzi Serikali za Mitaa Desemba
10 years ago
Habarileo14 Sep
Uchaguzi serikali za mitaa Des 14
KIPENGA cha kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa, kinatarajiwa kupulizwa Novemba 30 mwaka huu na uchaguzi kufanyika Desemba 14 chini ya sheria zilizopo.