Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Tumejiandaa vipi uchaguzi Serikali za Mitaa?

>Tangazo la Serikali siku chache zilizopita kwamba uchaguzi wa Serikali za Mitaa utafanyika Desemba, mwaka huu limepunguza wasiwasi uliokuwa umegubika suala hilo. Kwa kawaida maandalizi ya uchaguzi huo ambao hufanyika kila baada ya miaka mitano, huanza mapema kutokan

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Tumejiandaa vipi kwa mvua za el nino

Mvua zimeanza kutikisa maeneo ya Kanda ya Ziwa kama ilivyotabiriwa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kuwa kutakuwa na mvua za ukubwa zaidi ya matarajio katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba.

 

11 years ago

Michuzi

TAMKO LA KIKUNDI KAZI CHA SERIKALI ZA MITAA CHA POLICY FORUM KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2014

 Mwenyekiti wa Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa kilicho chini ya Taasisi ya Policy Forum,Bw. Hebron Mwakageda (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutoa tamkoa lao la Kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotaraji kufanyika mwaka huu.Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Policy Forum,Bw. Israel Ilunde akifafanua jambo wakati mkutano huo na Waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutoa tamkoa lao la Kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotaraji...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Vipi Bodaboda wameachwa kuunda ‘serikali’?

>Kama kuna eneo ambalo tunadhani Serikali imeonyesha udhaifu mkubwa ni udhibiti wa usafiri wa pikipiki, maarufu kama Bodaboda. Waendesha Bodaboda hapa nchini sasa wanaweza kufananishwa na ‘serikali’ inayojitegemea yenye ‘jeshi’ la ulinzi na usalama.

 

10 years ago

Mwananchi

Tumejiandaa kisaikolojia na kura ya maoni?

Kazi ya Bunge Maalumu la Katiba imefikia kikomo, wamefanya walilofanya, kazi iliyobaki sasa ni kwa umma kuamua kuhusu hayo waliyopendekeza kama yamekidhi matakwa yao au la.

 

10 years ago

StarTV

Uchaguzi serikali za mitaa, Serikali yakiri kuwepo na kasoro lukuki.

Na, Winifrida Ndunguru

Dar Es Salaam.

15 December 2014

 

 

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA: Serikali yakiri kuwepo na kasoro lukuki.

 

 

Serikali imekiri kuwepo kwa kasoro luluki katika uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika nchini kote Jumapili wiki hii likiwemo suala zima la mkanganyiko wa jina la mgombea kuonekana katika chama kingine.

 

Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Hawa Ghasia, amesema kutokana na kasoro hizo ameitaka mikoa...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YAWASIMAMISHA WAKURUGENZI WALIOSHINDWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

      Na Bakari Issa,Dar es Salaam
Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI leo imetangaza kuwasimamisha kazi Wakurugenzi watano (5) huku wengine wakipewa onyo kali katika utekelezaji wa majukumu yao.
Akithibitisha kusimamishwa kazi kwa Wakurugenzi hao,Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Mh. Hawa Ghasia amesema kwamba Wakurugenzi hao wametenda makosa yanayowaondolea sifa za kuwa Wakurugenzi.
“Makosa yafuatayo ndio yanayopelekea Wakurugenzi hawa kusimamishwa;Kuchelewa kuandaa vifaa vya...

 

10 years ago

Mwananchi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa walalamikiwa

Baadhi ya vyama vya siasa nchini vimeilalamikia Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), kwa madai ya kushindwa kukamilisha maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Uchaguzi Serikali za Mitaa Desemba

Hatimaye Serikali imetangaza kuwa Desemba 14 itakuwa siku ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

 

10 years ago

Habarileo

Uchaguzi serikali za mitaa Des 14

Waziri Mkuu, Mizengo PindaKIPENGA cha kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa, kinatarajiwa kupulizwa Novemba 30 mwaka huu na uchaguzi kufanyika Desemba 14 chini ya sheria zilizopo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani