MAONI: Vipi Bodaboda wameachwa kuunda ‘serikali’?
>Kama kuna eneo ambalo tunadhani Serikali imeonyesha udhaifu mkubwa ni udhibiti wa usafiri wa pikipiki, maarufu kama Bodaboda. Waendesha Bodaboda hapa nchini sasa wanaweza kufananishwa na ‘serikali’ inayojitegemea yenye ‘jeshi’ la ulinzi na usalama.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo04 Oct
Lowassa kuunda serikali rafiki kwa waendesha bodaboda
MGOMBEA wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Edward Lowassa amesema kwamba iwapo atapata ridhaa ya wananchi ya kuchaguliwa kuiongoza nchi ataunda serikali rafiki kwa waendesha bodaboda nchini ili kutetea na kuboresha maslahi yao.
10 years ago
Mwananchi26 Sep
MAONI: Tumejiandaa vipi uchaguzi Serikali za Mitaa?
10 years ago
Mwananchi02 Jun
MAONI: Mafanikio ya elimu yanapimwa kwa vigezo vipi?
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Magufuli aanza kuunda serikali
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Libya kuunda serikali ya Umoja?
10 years ago
BBCSwahili15 Sep
Social Democrats kuunda Serikali Sweden
10 years ago
Mwananchi09 Feb
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Sep
Samia: Ukawa ni ndoto kuunda serikali ya mseto
Mgombea mwenza wa urais wa chama Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Na Moshi Lusonzo 22nd September 2015 Adai sheria inasema chama kitakachoshinda ndicho kitaunda serikali, vinginevyo haiwezekani. Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi […]
The post Samia: Ukawa ni ndoto kuunda serikali ya mseto appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
StarTV02 Oct
Waislamu waiomba Serikali kuunda tume ya uchunguzi
Waislamu nchini wametaka kuundwa Tume ya Uchunguzi ya Hijja kutokana na vifo vya mahujaji vilivyotokea mwaka huu wakati wa Ibada ya Hijja nchini Saudi Arabia.
Waislamu hao wametaka tume hiyo ishirikishe nchi zote ambazo mahujaji wake wamefariki katika hijja ya mwaka huu walipokuwa wakimtupia jiwe shetani eneo la Minna Saudi Arabia.
Wakizungumza kwa mwavuli wa Muungano wa Waislamu wa madhehebu mbalimbali nchini, Masheikh hao wa taasisi tofauti wametoa tamko ambalo pia linapendekeza Serikali...