Social Democrats kuunda Serikali Sweden
Chama cha Social Democrats Sweden anatazamiwa kuunda Serikali mpya baada ya kumamilika kwa Uchaguzi Mkuu jumapili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Magufuli aanza kuunda serikali
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Libya kuunda serikali ya Umoja?
10 years ago
Mwananchi09 Feb
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Sep
Samia: Ukawa ni ndoto kuunda serikali ya mseto
Mgombea mwenza wa urais wa chama Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Na Moshi Lusonzo 22nd September 2015 Adai sheria inasema chama kitakachoshinda ndicho kitaunda serikali, vinginevyo haiwezekani. Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi […]
The post Samia: Ukawa ni ndoto kuunda serikali ya mseto appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi11 Feb
MAONI: Vipi Bodaboda wameachwa kuunda ‘serikali’?
9 years ago
StarTV02 Oct
Waislamu waiomba Serikali kuunda tume ya uchunguzi
Waislamu nchini wametaka kuundwa Tume ya Uchunguzi ya Hijja kutokana na vifo vya mahujaji vilivyotokea mwaka huu wakati wa Ibada ya Hijja nchini Saudi Arabia.
Waislamu hao wametaka tume hiyo ishirikishe nchi zote ambazo mahujaji wake wamefariki katika hijja ya mwaka huu walipokuwa wakimtupia jiwe shetani eneo la Minna Saudi Arabia.
Wakizungumza kwa mwavuli wa Muungano wa Waislamu wa madhehebu mbalimbali nchini, Masheikh hao wa taasisi tofauti wametoa tamko ambalo pia linapendekeza Serikali...
9 years ago
Habarileo04 Oct
Lowassa kuunda serikali rafiki kwa waendesha bodaboda
MGOMBEA wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Edward Lowassa amesema kwamba iwapo atapata ridhaa ya wananchi ya kuchaguliwa kuiongoza nchi ataunda serikali rafiki kwa waendesha bodaboda nchini ili kutetea na kuboresha maslahi yao.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XTU8k3Nx5eI/Xk9v_V1-JKI/AAAAAAALepU/dXcAM6RYuec7Gi2S39TzU1WB68wmAudjQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bpqc08a6230d416ry7_800C450.jpg)
Mahasimu wa kisiasa Sudan Kusini waahidi kuunda serikali ya pamoja
![](https://1.bp.blogspot.com/-XTU8k3Nx5eI/Xk9v_V1-JKI/AAAAAAALepU/dXcAM6RYuec7Gi2S39TzU1WB68wmAudjQCLcBGAsYHQ/s640/4bpqc08a6230d416ry7_800C450.jpg)
Wawili hao walitangaza hayo jana Alkhamisi, baada ya kambi hasimu wanazoziongoza kuhitalifiana kuhusu idadi ya majimbo ya nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.
Waasi nchini Sudan Kusini walipinga pendekezo la Rais Salva Kiir ambalo lingeipelekea nchi hiyo kurejea katika idadi ya awali...
11 years ago
Mwananchi29 Dec
Serikali yataja rasmi makundi ya kuunda Bunge Maalumu la Katiba