Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Social Democrats kuunda Serikali Sweden

Chama cha Social Democrats Sweden anatazamiwa kuunda Serikali mpya baada ya kumamilika kwa Uchaguzi Mkuu jumapili.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Magufuli aanza kuunda serikali

Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Magufuli ameunda jopo maalumu la wanataaluma na wataalamu kutoka kada mbali mbali ikiwa ni maandalizi ya uundaji wa serikali yake endapo atashinda urais.

 

10 years ago

BBCSwahili

Libya kuunda serikali ya Umoja?

Kiongozi wa serikali ya Libya inayotambuliwa kimataifa, ana matumaini ya kugawana madaraka na wapinzani

 

10 years ago

Mwananchi

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Samia: Ukawa ni ndoto kuunda serikali ya mseto

Mgombea mwenza wa urais wa chama Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Na Moshi Lusonzo 22nd September 2015 Adai sheria inasema chama kitakachoshinda ndicho kitaunda serikali, vinginevyo haiwezekani. Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi […]

The post Samia: Ukawa ni ndoto kuunda serikali ya mseto appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Vipi Bodaboda wameachwa kuunda ‘serikali’?

>Kama kuna eneo ambalo tunadhani Serikali imeonyesha udhaifu mkubwa ni udhibiti wa usafiri wa pikipiki, maarufu kama Bodaboda. Waendesha Bodaboda hapa nchini sasa wanaweza kufananishwa na ‘serikali’ inayojitegemea yenye ‘jeshi’ la ulinzi na usalama.

 

9 years ago

StarTV

Waislamu waiomba Serikali kuunda tume ya uchunguzi

Waislamu nchini wametaka kuundwa Tume ya Uchunguzi ya Hijja kutokana na vifo vya mahujaji vilivyotokea mwaka huu wakati wa Ibada ya Hijja nchini Saudi Arabia.

Waislamu hao wametaka tume hiyo ishirikishe nchi zote ambazo mahujaji wake wamefariki katika hijja ya mwaka huu walipokuwa wakimtupia jiwe shetani eneo la Minna Saudi Arabia.

Wakizungumza kwa mwavuli wa Muungano wa Waislamu wa madhehebu mbalimbali nchini, Masheikh hao wa taasisi tofauti wametoa tamko ambalo pia linapendekeza Serikali...

 

9 years ago

Habarileo

Lowassa kuunda serikali rafiki kwa waendesha bodaboda

MGOMBEA wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Edward Lowassa amesema kwamba iwapo atapata ridhaa ya wananchi ya kuchaguliwa kuiongoza nchi ataunda serikali rafiki kwa waendesha bodaboda nchini ili kutetea na kuboresha maslahi yao.

 

5 years ago

Michuzi

Mahasimu wa kisiasa Sudan Kusini waahidi kuunda serikali ya pamoja

Mahasimu wa kisiasa nchini Sudan Kusini, Rais Salva Kiir na kiongozi wa upinzani Riek Machar wamesisitiza kuwa wataunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa kufikia Jumamosi ya kesho (Februari 22) kama ilivyopangwa.

Wawili hao walitangaza hayo jana Alkhamisi, baada ya kambi hasimu wanazoziongoza kuhitalifiana kuhusu idadi ya majimbo ya nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

Waasi nchini Sudan Kusini walipinga pendekezo la Rais Salva Kiir ambalo lingeipelekea nchi hiyo kurejea katika idadi ya awali...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yataja rasmi makundi ya kuunda Bunge Maalumu la Katiba

>Serikali imeyataka makundi mbalimbali ya watu yanayopenda majina yao kuteuliwa kuwa Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kufanya hivyo kabla ya Januari 2, 2014 saa tisa alasiri.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani