Waislamu waiomba Serikali kuunda tume ya uchunguzi
Waislamu nchini wametaka kuundwa Tume ya Uchunguzi ya Hijja kutokana na vifo vya mahujaji vilivyotokea mwaka huu wakati wa Ibada ya Hijja nchini Saudi Arabia.
Waislamu hao wametaka tume hiyo ishirikishe nchi zote ambazo mahujaji wake wamefariki katika hijja ya mwaka huu walipokuwa wakimtupia jiwe shetani eneo la Minna Saudi Arabia.
Wakizungumza kwa mwavuli wa Muungano wa Waislamu wa madhehebu mbalimbali nchini, Masheikh hao wa taasisi tofauti wametoa tamko ambalo pia linapendekeza Serikali...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3wwOmy7CkX0/VUzPrn7MbII/AAAAAAAHWUM/mkhIIz4jRAg/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
SERIKALI YATOA TAARIFA YA TUME KUKAMILISHA KAZI YA UCHUNGUZI DHIDI YA MASWI KUHUSIKA NA SAKATA LA ESCROW NA ILE YA OPERESHENI TOKOMEZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3wwOmy7CkX0/VUzPrn7MbII/AAAAAAAHWUM/mkhIIz4jRAg/s640/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-n8eNq4YKXds/VUzPrRFDMrI/AAAAAAAHWUQ/1bD0xbVYTUg/s640/unnamed%2B(35).jpg)
9 years ago
Mwananchi26 Sep
Lowassa akomalia kuunda Tume
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1.Mke-wa-marehemu-Mch.Mtikila-katikati-GEOGEA-MTIKILA-akizungumza-na-wanahabri-pichani-hawapo..jpg)
MKE WA MTIKILA AMUOMBA KIKWETE KUUNDA TUME YA KUCHUNGUZA KIFO CHA MUMEWE
11 years ago
MichuziMAAFISA TUME WAFUNZWA STADI ZA UCHUNGUZI
9 years ago
Habarileo18 Dec
Walemavu waiomba Serikali iwakumbuke
SHIRIKISHO la Watu Wenye Ulemavu Mkoa wa Dodoma (SHIVYAWATA) wameitaka Serikali ihakikishe maisha ya watu wenye ulemavu yanakuwa bora kwa kuwapatia huduma bora za kijamii zikiwemo afya, elimu na ulinzi. Kauli hiyo imetolewa jana na Katibu wa Shirikisho hilo, Justin Ng’wantalima kwenye ufunguzi wa kongamano la maadhimisho ya siku ya watu wenye ulemavu mkoa wa Dodoma.
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/117.jpg)
WASANII WAIOMBA SERIKALI KUUMALIZIA UKUMBI WA BASATA
9 years ago
Dewji Blog21 Nov
Mtandao wa Wanawake na Katiba waiomba Serikali ya Dk. Magufuli
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake na Katiba na Uchaguzi, Profesa Ruth Meena (kushoto) akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari jana jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Edah Sanga.
Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Wanawake Tanzania, Mary Rusimbi (kushoto) ambaye ni mjumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba na Uchaguzi akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyekiti...
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Watalii waiomba Serikali kuboresha usafiri wa anga
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LOCpssTMyE0/Xut7m2rC8vI/AAAAAAALue8/pyZjmKmU154tziMn--gUugiCc7DKnVQBQCLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
WANANCHI LUDEWA WAIOMBA SERIKALI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10