Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAAFISA TUME WAFUNZWA STADI ZA UCHUNGUZI

Mkurugenzi wa Idara ya Haki za Binadamu, Bwana Francis Nzuki akifungua rasmi mafunzo ya stadi za uchunguzi yanayofanyika katika hoteli ya Naura Spring jijini Arusha. Mafunzo hayo ya wiki moja kuanzia Machi 31—4, 2014 yamelenga kuwaongezea maafisa wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) stadi za kiuchunguzi hasa wanapofanya uchunguzi unaohusiana na kazi za kila siku za Polisi. kushoto ni muwezeshaji kutoka Tume ya Haki za Binadamu ya Afrika Kusini Bibi. Lindiwe Khumalo na kulia...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Waislamu waiomba Serikali kuunda tume ya uchunguzi

Waislamu nchini wametaka kuundwa Tume ya Uchunguzi ya Hijja kutokana na vifo vya mahujaji vilivyotokea mwaka huu wakati wa Ibada ya Hijja nchini Saudi Arabia.

Waislamu hao wametaka tume hiyo ishirikishe nchi zote ambazo mahujaji wake wamefariki katika hijja ya mwaka huu walipokuwa wakimtupia jiwe shetani eneo la Minna Saudi Arabia.

Wakizungumza kwa mwavuli wa Muungano wa Waislamu wa madhehebu mbalimbali nchini, Masheikh hao wa taasisi tofauti wametoa tamko ambalo pia linapendekeza Serikali...

 

11 years ago

BBCSwahili

Maafisa wa Tume ya uchaguzi matatani Malawi

Mahakama kuu nchini Malawi imesema Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi na makamishna wake wanakabiliwa na mashitaka ya kudharau mahakama.

 

9 years ago

Dewji Blog

MAAFISA WA TUME YA UCHAGUZI: Watakiwa kufanyakazi zao kwa kuzingatia Sheria na taratibu!

SAM_0040

baadhi ya washiriki wa mafunzo ya siku mbili kwa maafisa wa tume ya uchaguzi yaliyofanyika katika shule ya msingi Ikungi mchanganyiko 

Na.Jumbe Ismailly.

[Ikungi-SINGIDA] Mkuu  wa wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida ametoa wito kwa maafisa wa tume ya uchaguzi ngazi ya kata kuhakikisha viongozi watakaopatikana katika uchaguzi mkuu ujao wa Rais,wabunge na madiwani ni wale ambao wanatakiwa na wananchi na siyo wanaotakiwa na viongozi wa vyama vya siasa.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa wilaya ya...

 

10 years ago

Michuzi

TUME ya haki za binadamu yatoa taarifa ya uchunguzi wa tuhuma dhidi ya Jeshi la Polisi za kuwapiga na kuwazalilisha Viongozi na Wafuasi wa CUF

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu Mhe. Bahame Nyanduga akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam wakati akitoa taarifa ya uchunguzi wa tuhuma dhidi ya Jeshi la Polisi za kuwapiga na kuwazalilisha Viongozi na Wafuasi wa CUF huko Mtoni Mtongani Temeke, Dar es sa Salaam.Picha na Eliphace Marwa-MAELEZO---Na PIUS YALULA - MAELEZOTUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imelaani vitendo vya uzalilishaji vilivyofanywa kwa Viongozi wa Chama cha Wananchi...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YATOA TAARIFA YA TUME KUKAMILISHA KAZI YA UCHUNGUZI DHIDI YA MASWI KUHUSIKA NA SAKATA LA ESCROW NA ILE YA OPERESHENI TOKOMEZA

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (kushoto) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipokuwa akisoma taarifa ya kukamilika kwa uchunguzi dhidi ya aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Eliakimu Maswi kuhusu kuhusika kwake na kashfa ya Escrow na ile ya tume ya uchunguzi wa malalamiko yaliyotokana na utekelezaji wa operesheni tokomeza mapema hii leo jijini Dar es Salaam , kulia niMwandishi wa Habari Msaidizi wa Rais Bi. Premi Kibanga.

 

10 years ago

BBCSwahili

IS:Wapiganaji wafunzwa urubani

Marubani walioasi jeshi la Iraq na kujiunga na kundi la wapiganaji wa Islamic State wameanza kutoa mafunzo ya urubani kwa wapiganaji wa IS

 

10 years ago

Habarileo

Majaji wafunzwa ‘kufunga’ wala rushwa

 Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dk Edward HoseaBAADA ya kupoteza kesi nyingi inazopeleka mahakamani, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imeshtuka na kuleta wataalamu kutoka nje ya nchi kuwafundisha mahakimu, majaji, waendesha mashitaka na wapelelezi wa kesi za rushwa juu ya namna ya kuwasilisha ushahidi ukiwemo ushahidi wa mazingira ambao ni muhimu katika kesi za rushwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto wafunzwa fikra za Osama Pakistani

Watoto takriban 5,000 wanapewa mafunzo ya misimamo ya Osama bin Laden nchini Pakistani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani