Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IS:Wapiganaji wafunzwa urubani

Marubani walioasi jeshi la Iraq na kujiunga na kundi la wapiganaji wa Islamic State wameanza kutoa mafunzo ya urubani kwa wapiganaji wa IS

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

NIT kuendesha mafunzo ya urubani, uhandishi wa ndege

“NILIAMUA kuweka mkakati wa miaka mitano ambao kwa kushirikiana na wenzangu tuliamua kuutekeleza kwa nguvu moja ili chuo chetu kiwe kitovu cha ubora hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla.”...

 

11 years ago

Mwananchi

NIT kuanzisha kozi ya urubani, uhandisi Julai

Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kinatarajia kuanzisha kozi mpya ya mafunzo ya urubani na uhandisi wa ndege, ili kutoa fursa kwa vijana kujifunza fani hiyo ndani ya nchi tofauti na sasa.

 

10 years ago

Habarileo

Majaji wafunzwa ‘kufunga’ wala rushwa

 Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dk Edward HoseaBAADA ya kupoteza kesi nyingi inazopeleka mahakamani, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imeshtuka na kuleta wataalamu kutoka nje ya nchi kuwafundisha mahakimu, majaji, waendesha mashitaka na wapelelezi wa kesi za rushwa juu ya namna ya kuwasilisha ushahidi ukiwemo ushahidi wa mazingira ambao ni muhimu katika kesi za rushwa.

 

11 years ago

Michuzi

MAAFISA TUME WAFUNZWA STADI ZA UCHUNGUZI

Mkurugenzi wa Idara ya Haki za Binadamu, Bwana Francis Nzuki akifungua rasmi mafunzo ya stadi za uchunguzi yanayofanyika katika hoteli ya Naura Spring jijini Arusha. Mafunzo hayo ya wiki moja kuanzia Machi 31—4, 2014 yamelenga kuwaongezea maafisa wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) stadi za kiuchunguzi hasa wanapofanya uchunguzi unaohusiana na kazi za kila siku za Polisi. kushoto ni muwezeshaji kutoka Tume ya Haki za Binadamu ya Afrika Kusini Bibi. Lindiwe Khumalo na kulia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto wafunzwa fikra za Osama Pakistani

Watoto takriban 5,000 wanapewa mafunzo ya misimamo ya Osama bin Laden nchini Pakistani

 

11 years ago

BBCSwahili

EU kuzuia wapiganaji wa kigeni

Mawaziri wa mambo ya ndani wa EU wanajadili njia za kusitisha raia wa Ulaya waliopigana Syria kurejea nyumbani

 

11 years ago

BBCSwahili

UN:Wanoafadhil wapiganaji mashakani

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kwa pamoja limeamua kuwawekea vikwazo watu wanaowafadhili wapiganaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 70 wa Alshabaab wauawa

Mamlaka kusini mwa Somali inasema kuwa zaidi ya wapiganaji 70 wa kundi la Alshabaab waliuawa katika mapigano siku ya jumamosi

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 27 wauawa Misri

Wanamgambo 27 wa kiislamu wameuawa kwenye oparesheni kubwa ilioendeshwa na jeshi la Misri katika eneo la Sinai Kaskazini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani