Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NIT kuanzisha kozi ya urubani, uhandisi Julai

Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kinatarajia kuanzisha kozi mpya ya mafunzo ya urubani na uhandisi wa ndege, ili kutoa fursa kwa vijana kujifunza fani hiyo ndani ya nchi tofauti na sasa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

NIT kuendesha mafunzo ya urubani, uhandishi wa ndege

“NILIAMUA kuweka mkakati wa miaka mitano ambao kwa kushirikiana na wenzangu tuliamua kuutekeleza kwa nguvu moja ili chuo chetu kiwe kitovu cha ubora hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla.”...

 

9 years ago

Dewji Blog

Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) latoa kibali kwa Taasisi ya Uhasibu (TIA) Mbeya kuanzisha kozi nyingine za shahada ya masoko

Kikosi cha brasband cha Magereza kikiongoza Maandamao kuelekea uwanjani kwenye mahafali hayo ya Kumi na Tatu ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) na ya Tatu kwa kampasi ya Mbeya . Baadhi ya wahadhiri wa Taasisi hiyo ya Uhasibu (TIA) Kampasi ya Mbeya wakiandamana kuelekea uwanjani tayari kwa mahafali hayo . Wahitimu wakiwa katika maandamano hayo ya Mahafali ya kumi na Tatu ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) na ya Tatu kwa Kampasi ya Mbeya. Meza kuu wakipokea maandamano ya wahitimu...

 

9 years ago

CCM Blog

BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE)LATOA KIBALI KWA TAASISI YA UHASIBU (TIA) MBEYA KUANZISHA KOZI NYINGINE ZA SHAHADA YA MASOKO



Kikosi cha brasband cha Magereza kikiongoza Maandamao kuelekea uwanjani kwenye mahafali hayo ya Kumi na Tatu ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) na ya Tatu kwa kampasi ya Mbeya .

Baadhi ya wahadhiri wa Taasisi hiyo ya Uhasibu (TIA) Kampasi ya Mbeya wakiandamana kuelekea uwanjani tayari kwa mahafali hayo .
Wahitimu wakiwa katika maandamano hayo ya Mahafali ya kumi na Tatu ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) na ya Tatu kwa Kampasi ya Mbeya.

Meza kuu wakipokea maandamano ya wahitimu katika...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI APOKEA MAGARI MAWILI KUTOKA KAMPUNI YA TRANSAID YA NCHINI UINGEREZA KWA AJILI YA MAFUNZO KWA VITENDO KWA WANAFUNZI WANAOSOMA KOZI YA UDEREVA KATIKA CHUO CHA TAIFA CHA USARIFISHAJI (NIT)

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt. Shaaban Mwinjaka (kushoto), akimsikiliza Mkuu wa Chuo Cha Taifa Cha Usafirishaji (NIT), Dkt. Zakaria Mganilwa ofisini kwake kabla ya kupokea magari mawili ambayo yamekabidhiwa kwa chuo hicho na Shirika la Transaid la nchini Uingereza, hafla ya kukabidhi magari hayo imefanyika leo asubuhi katika viwanja vya NIT. Taswira ya tanker trailer la futi 40 na Folk Lift ambayo yamekabidhiwa kwa Chuo Cha Taifa Cha Usafirishaji (NIT) na Kampuni ya...

 

10 years ago

GPL

NEC: UANDIKISHAJI BVR DAR KUANZA JULAI 16-25, PWANI JULAI 7-20

Na Mwandishi -Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura kwa teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) lililoahirishwa katika jiji la Dar es salaam na mkoa wa Pwani hivi karibuni sasa litafanyika kuanzia Julai 7-20 kwa mkoa wa Pwani na Julai 16- 25 kwa jiji la Dar es salaam. Uboreshaji wa Daftari hilo kwa jiji la Dar es salaam na Mkoa wa Pwani uliahirishwa kutokana na kuchelewa kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

IS:Wapiganaji wafunzwa urubani

Marubani walioasi jeshi la Iraq na kujiunga na kundi la wapiganaji wa Islamic State wameanza kutoa mafunzo ya urubani kwa wapiganaji wa IS

 

10 years ago

Habarileo

BVR Pwani Julai 7, Dar Julai 16

Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Julius MallabaTUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ambayo iliahirisha uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) katika Jiji la Dar es Salaam na Mkoa wa Pwani hivi karibuni, sasa imesema utafanyika kuanzia Julai 7 hadi 20 kwa Mkoa wa Pwani na Julai 16 hadi Julai 25 kwa Jiji la Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

WANACHUO NIT WAGOMA

Wanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) wanaolipiwa na Bodi ya Mikopo wakimsikiliza Makamu Mkuu wa Chuo hicho aliyekuwa akiongea nao. Makamu Mkuu wa Chuo akijaribu kuwatuliza wanachuo hao kwa kuwaahidi kushughulikia suala…

 

11 years ago

Mwananchi

Kituo kutoa mafunzo ya uhandisi, usanifu

Zaidi ya wataalamu 1,200 wa fani ya uhandisi, usanifu majengo na usimamizi wa miradi, wanatarajiwa kuingizwa kwenye soko la ajira nchini kila mwaka kutokana na uanzishwaji wa Kituo cha Mafunzo cha Computer Aided Drafting & Design (CADD) .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani