Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEC: UANDIKISHAJI BVR DAR KUANZA JULAI 16-25, PWANI JULAI 7-20

Na Mwandishi -Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura kwa teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) lililoahirishwa katika jiji la Dar es salaam na mkoa wa Pwani hivi karibuni sasa litafanyika kuanzia Julai 7-20 kwa mkoa wa Pwani na Julai 16- 25 kwa jiji la Dar es salaam. Uboreshaji wa Daftari hilo kwa jiji la Dar es salaam na Mkoa wa Pwani uliahirishwa kutokana na kuchelewa kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

BVR Pwani Julai 7, Dar Julai 16

Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Julius MallabaTUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ambayo iliahirisha uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) katika Jiji la Dar es Salaam na Mkoa wa Pwani hivi karibuni, sasa imesema utafanyika kuanzia Julai 7 hadi 20 kwa Mkoa wa Pwani na Julai 16 hadi Julai 25 kwa Jiji la Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

TUME YA UCHAGUZI YATANGAZA KUANZA UANDIKISHAJI BVR DAR ES SALAAM NA PWANI

Na Mwandishi-Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura kwa teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) lililoahirishwa katika jiji la Dar es salaam na mkoa wa Pwani hivi karibuni sasa litafanyika kuanzia  Julai 7-20 kwa mkoa wa Pwani na Julai 16- 25 kwa jiji la Dar es salaam. 
Uboreshaji wa Daftari hilo kwa jiji la Dar es salaam na Mkoa wa Pwani uliahirishwa kutokana na kuchelewa kwa vifaa vya uboreshaji kutoka mikoani ambavyo vilipelekwa ili...

 

10 years ago

Habarileo

Uandikishaji daftari la kudumu Dar sasa Julai 22

ZOEZI la uboreshaji daftari la kudumu la wapiga kura kwa mkoa wa Dar es Salaam limesogezwa mbele hadi Julai 22 mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Uandikishaji BVR Dar kuanza kesho

>Uandikishaji wa wapigakura kwa kutumia Biometric Voters Registration (BVR) Dar es Salaam, unaanza rasmi kesho, huku mashine zaidi ya 4,000 zikitarajia kutumika kukamilisha kazi hiyo katika vituo 1,700.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania kuanza Madola Julai 27

WAKATI michezo ya Jumuiya ya Madola ikitarajiwa kufunguliwa kesho mjini Glasgow, Scotland, wanariadha wa Tanzania wataanza kampeni yao Julai 27. Hiyo ni kwa mujibu wa ratiba ya mashindano hayo ambayo...

 

5 years ago

Michuzi

MAONESHO YA 44 YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA DAR ES SALAAM (44th DITF) KUANZA JULAI 1 – 13, 2020 KATIKA UWANJA WA MAONESHO WA MWL. J.K. NYERERE

Wizara ya Viwanda na Biashara kupitia Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) inapenda kuwataarifu Taasisi za Umma, Sekta Binafsi, Jumuiya za Wafanyabiashara na Wananchi wote kwa ujumla kuwa inaendelea na maandalizi ya Maonesho ya 44 ya Biashara ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam yanayotarajiwa kuanza tarehe 1 hadi 13 Julai, 2020 katika Uwanja wa Maonesho wa Mwl. J. K. Nyerere, Barabara ya Kilwa, Dar es Salaam. 
Lengo la Maonesho haya ni kutoa fursa ya kutafuta masoko ya...

 

11 years ago

Habarileo

Mabehewa mapya kuanza kuingia Julai

MABEHEWA mapya 22 ya abiria, 274 ya mizigo na 34 ya breki pamoja na vichwa vinane vipya vya treni, yanatarajiwa kuwasili kati ya Julai na Desemba mwaka huu, imefahamika.

 

10 years ago

Habarileo

Tume ya Walimu kuanza kazi Julai

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani.SERIKALI imesema Tume ya Utumishi wa Walimu itaanza kazi Julai mwaka huu na kuhudumia walimu katika masuala mbalimbali huku muundo wa utumishi wa tume hiyo umehusisha ngazi za chini na juu.

 

11 years ago

Habarileo

Kidunda kuanza kulipwa fidia Julai 21

MAMLAKA ya Maji Safi na Majitaka Mkoa wa Dar es Salaam, (DAWASA), imetenga kiasi cha sh bilioni 7.9 kwa ajili ya kulipa fidia kwa wakazi 2,600 watakaohamishwa katika kijiji cha Kidunda wilayani Morogoro kupisha ujenzi wa bwawa la maji na barabara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani