Uandikishaji daftari la kudumu Dar sasa Julai 22
ZOEZI la uboreshaji daftari la kudumu la wapiga kura kwa mkoa wa Dar es Salaam limesogezwa mbele hadi Julai 22 mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziNEC yaongeza siku za uandikishaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura Dar
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza muda wa uandikishaji katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura kwa mkoa ya Dar es Salaam.
Muda uliongezwa kwa katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura ni siku tatu ambapo zoezi hilo litaitimishwa Februari 23, 2020.
Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Uchanguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt Wilson Charles amesema kuwa kusogezwa kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IC7wNBcmy8A/VcI6K2W5aiI/AAAAAAABkMs/uWJd9XkSpFU/s72-c/IMG_3708.jpg)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKAMILISHA ZOEZI LA UANDIKISHAJI WAPIGA KURA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU MKOA WA DAR ES SALAAM KWA MAFANIKIO MAKUBWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-IC7wNBcmy8A/VcI6K2W5aiI/AAAAAAABkMs/uWJd9XkSpFU/s640/IMG_3708.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-V5wLRk9hvls/VcI6EUuHLoI/AAAAAAABkMk/yhAYfkHlV08/s640/IMG_3709.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gkuUimr60cM/VcI6LlpTGmI/AAAAAAABkM0/gPcQ1LciMFQ/s640/IMG_3710.jpg)
10 years ago
Mtanzania13 Feb
NEC yasogeza mbele uandikishaji daftari la kudumu
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza kusogeza mbele uandikishaji wapigakura kutoka Februari 16 hadi 23, mwaka huu.
Uamuzi huo ulitangazwa jana jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva, katika kikao na viongozi wa vyama vya siasa hali ambayo iliibua hoja nzito.
Jaji Lubuva, alisema wamesogeza mbele uandikishaji ili wapate muda wa kufanya maandalizi ya kutosha, na vyama viweze kuandaa mawakala pindi kazi hiyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXqXoRy0q2hN*kgf83cKPO*RsiSmijcTXGNLS*HzWLrcUYtMEMx4Tlu4FnBJuOrqobab13tGDKXWwa7Y6WtSku2d/KURA.png?width=650)
NEC: UANDIKISHAJI BVR DAR KUANZA JULAI 16-25, PWANI JULAI 7-20
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p7M8Q82ib70/VWB43HeuacI/AAAAAAAAG1g/9Avj0j_nsgY/s72-c/P5239292.jpg)
UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA RASMI KESHO JUMAPILI MKOANI RUKWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-p7M8Q82ib70/VWB43HeuacI/AAAAAAAAG1g/9Avj0j_nsgY/s640/P5239292.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tGGjB1lrSLs/VWB43HrnzGI/AAAAAAAAG1c/fr6RcMAofF8/s640/P5239299.jpg)
(Na Hamza Temba - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa@Rukwareview.blogspot.com)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-s_a3Y0K4ZE0/VWBDLnEdYZI/AAAAAAABPPA/67tXVwOx1Ag/s72-c/140131072218_tanzania_elections_512x288_afp.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/8jHvw3blOj0/default.jpg)
10 years ago
MichuziWANANCHI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WAJITOKEZA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA MFUMO WA BVR
Wakizungumza na Globu ya Jamii kwa nyakati tofauti walisema zoezi linaenda vizuri lakini linakabiliwa na changamoto chache ambazo zikitatuliwa wananchi wote watajiandikisha katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura.
Akizungumzia suala kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura ,Salumu Abbakari Mkazi wa...