NEC yaongeza siku za uandikishaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura Dar
Na Chalila Kubuda, Globu ya Jamii .
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza muda wa uandikishaji katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura kwa mkoa ya Dar es Salaam.
Muda uliongezwa kwa katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura ni siku tatu ambapo zoezi hilo litaitimishwa Februari 23, 2020.
Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Uchanguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt Wilson Charles amesema kuwa kusogezwa kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IC7wNBcmy8A/VcI6K2W5aiI/AAAAAAABkMs/uWJd9XkSpFU/s72-c/IMG_3708.jpg)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKAMILISHA ZOEZI LA UANDIKISHAJI WAPIGA KURA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU MKOA WA DAR ES SALAAM KWA MAFANIKIO MAKUBWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-IC7wNBcmy8A/VcI6K2W5aiI/AAAAAAABkMs/uWJd9XkSpFU/s640/IMG_3708.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-V5wLRk9hvls/VcI6EUuHLoI/AAAAAAABkMk/yhAYfkHlV08/s640/IMG_3709.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gkuUimr60cM/VcI6LlpTGmI/AAAAAAABkM0/gPcQ1LciMFQ/s640/IMG_3710.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/j-s5uWimLkk/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--hgo6viiJmo/U-nU4kr5y_I/AAAAAAAF-3M/FfkXAXXuf5s/s72-c/download%2B(1).jpg)
NEC yafafanua kuhusu daftari la kudumu la wapiga kura
![](http://4.bp.blogspot.com/--hgo6viiJmo/U-nU4kr5y_I/AAAAAAAF-3M/FfkXAXXuf5s/s1600/download%2B(1).jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Jun
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-zF0ErWmukzY/VY12uK-6GeI/AAAAAAABiUM/fpp9ymNB35U/s72-c/20150626085239.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gRI3cSK2_GI/XpcibL5rqWI/AAAAAAALnFk/Mq0hDYp9I2QUWMrxlMnMaLVvuCamitMbQCLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
NEC yatoa mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la Wapiga kura kwa mikoa 12
![](https://1.bp.blogspot.com/-gRI3cSK2_GI/XpcibL5rqWI/AAAAAAALnFk/Mq0hDYp9I2QUWMrxlMnMaLVvuCamitMbQCLcBGAsYHQ/s320/index.png)
Shughuli ya utoaji wa mafunzo imefanyika kwa mikoa 12 nchini,na itakwenda sambamba na zoezi la uwekaji wazi wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya kwanza na uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awumu ya pili.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha, wakati...
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
NEC yaanza uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo mpya wa (BVR)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) hapa nchini Jaji Mstaafu Damian Lubuva (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jana, kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida, Liana Hassan na kushoto ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida Joseph Mchina.(PICHA ZOTE NA HILLARAY SHOO Mo Blog, SINGIDA).
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi imeanza mchakato wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura,kwa kuwashirikisha kwa karibu waandishi wa habari hapa nchini.
Lengo la...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/WV0F5mhfoGY/default.jpg)