NEC YAWAKUMBUSHA WATANZANIA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KWENYE DAFTARI LA KUDUMU ZA WAPIGA KURA (VIDEO)
![](https://img.youtube.com/vi/WV0F5mhfoGY/default.jpg)
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi08 Aug
TAARIFA KWA UMMA: KUHAKIKI TAARIFA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Tunawatangazia wananchi wote waliojiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa BVR kujitokeza katika vituo walipojiandikisha ili wahakiki taarifa zao. Ambako daftari la mpiga kura limebandikwa. (Display) NA.MIKOATAREHE YA KUANZATAREHE YA KUMALIZA1Njombe, Iringa, Mtwara, Lindi, Ruvuma, Katavi, Rukwa, Mbeya, Dodoma, Singida, Tabora, Kigoma, Kagera, Simiyu, Shinyanga, Geita, Mwanza, Mara, Manyara, Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Morogoro.
07/08/201511/08/20152Pwani na...
07/08/201511/08/20152Pwani na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-hBmt2I0IwwM/VcWf1c2IDvI/AAAAAAABTRg/f8ibKkz59OM/s72-c/CL3WowIUcAEVYWv.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ztAriTe-YPE/XrEL5SD6cdI/AAAAAAALpKU/fJVZsU9ZZmAuT9T8_6VRFwt_v8IRYtMVQCLcBGAsYHQ/s72-c/1873026f-9ad1-417f-98c4-57a1186d4198.jpg)
SHILATU AHUISHA TAARIFA ZAKE KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu ametumia haki yake kikatiba ya kujiandikisha kwa kuhuisha taarifa zake kwenye daftari la Kudumu la Mpiga Kura itakayompa fursa ya kidemokrasia ya kuchagua viongozi anaowataka kwenye uchaguzi mkuu wa Urais, Ubunge na Udiwani.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ztAriTe-YPE/XrEL5SD6cdI/AAAAAAALpKU/fJVZsU9ZZmAuT9T8_6VRFwt_v8IRYtMVQCLcBGAsYHQ/s640/1873026f-9ad1-417f-98c4-57a1186d4198.jpg)
Afisa Tarafa Mihambwe, Emmanuel Shilatu akipigwa picha wakati wa kuhuisha taarifa zake kwenye daftari la Kudumu la Mpiga Kura Jana Mei 04, 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ztAriTe-YPE/XrEL5SD6cdI/AAAAAAALpKU/fJVZsU9ZZmAuT9T8_6VRFwt_v8IRYtMVQCLcBGAsYHQ/s640/1873026f-9ad1-417f-98c4-57a1186d4198.jpg)
Afisa Tarafa Mihambwe, Emmanuel Shilatu akipigwa picha wakati wa kuhuisha taarifa zake kwenye daftari la Kudumu la Mpiga Kura Jana Mei 04, 2020.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mvDN7f9ligQ/Xu-q9R4g0zI/AAAAAAALu2E/63WouhDEg9wzvTroiYS19lkUlv0lmbm3wCLcBGAsYHQ/s72-c/362eace1-58ac-4b0b-aef2-dfeb61a649c9.jpg)
WAZIRI MHAGAMA APONGEZA WANANCHI KWA KUJITOKEZA NA KUBORESHA TAARIFA ZAO KWENYE DAFTARI LA WAPIGA KURA
![](https://1.bp.blogspot.com/-mvDN7f9ligQ/Xu-q9R4g0zI/AAAAAAALu2E/63WouhDEg9wzvTroiYS19lkUlv0lmbm3wCLcBGAsYHQ/s640/362eace1-58ac-4b0b-aef2-dfeb61a649c9.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (kulia) akizungumza na wakazi wa Kijiji cha Kelema alipofanya ziara ya kukagua zoezi la uwekaji wazi wa Daftari la Mpiga Kura pamoja na kuangalia uboreshaji wa taarifa za wapiga kura Wilayani Chemba.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6cdbbbbf-c0cc-41ab-b40c-b0e0d116c843.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--hgo6viiJmo/U-nU4kr5y_I/AAAAAAAF-3M/FfkXAXXuf5s/s72-c/download%2B(1).jpg)
NEC yafafanua kuhusu daftari la kudumu la wapiga kura
![](http://4.bp.blogspot.com/--hgo6viiJmo/U-nU4kr5y_I/AAAAAAAF-3M/FfkXAXXuf5s/s1600/download%2B(1).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/j-s5uWimLkk/default.jpg)
5 years ago
MichuziNEC yaongeza siku za uandikishaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura Dar
Na Chalila Kubuda, Globu ya Jamii .
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza muda wa uandikishaji katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura kwa mkoa ya Dar es Salaam.
Muda uliongezwa kwa katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura ni siku tatu ambapo zoezi hilo litaitimishwa Februari 23, 2020.
Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Uchanguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt Wilson Charles amesema kuwa kusogezwa kwa...
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza muda wa uandikishaji katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura kwa mkoa ya Dar es Salaam.
Muda uliongezwa kwa katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura ni siku tatu ambapo zoezi hilo litaitimishwa Februari 23, 2020.
Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Uchanguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt Wilson Charles amesema kuwa kusogezwa kwa...
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/lubuva1.jpg)
UHAKIKI WA TAARIFA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inawatangazia wananchi wote waliojiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa BVR kujitokeza katika vituo walipojiandikisha ili wahakiki taarifa zao. Kwa mikoa…
10 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BLRr-PN7BLM/VSGIuvM4ylI/AAAAAAADSF8/fCxHtZG4-JQ/s72-c/NEC(47).jpg)
TAARIFA KWA UMMA YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA NA KURA YA MAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BLRr-PN7BLM/VSGIuvM4ylI/AAAAAAADSF8/fCxHtZG4-JQ/s1600/NEC(47).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania