BVR Pwani Julai 7, Dar Julai 16
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ambayo iliahirisha uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) katika Jiji la Dar es Salaam na Mkoa wa Pwani hivi karibuni, sasa imesema utafanyika kuanzia Julai 7 hadi 20 kwa Mkoa wa Pwani na Julai 16 hadi Julai 25 kwa Jiji la Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXqXoRy0q2hN*kgf83cKPO*RsiSmijcTXGNLS*HzWLrcUYtMEMx4Tlu4FnBJuOrqobab13tGDKXWwa7Y6WtSku2d/KURA.png?width=650)
NEC: UANDIKISHAJI BVR DAR KUANZA JULAI 16-25, PWANI JULAI 7-20
Na Mwandishi -Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura kwa teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) lililoahirishwa katika jiji la Dar es salaam na mkoa wa Pwani hivi karibuni sasa litafanyika kuanzia Julai 7-20 kwa mkoa wa Pwani na Julai 16- 25 kwa jiji la Dar es salaam. Uboreshaji wa Daftari hilo kwa jiji la Dar es salaam na Mkoa wa Pwani uliahirishwa kutokana na kuchelewa kwa...
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Kampuni ‘kuanika’ silaha Julai 14 Dar
Kampuni zaidi ya 30 zinazotengeneza silaha na vifaa vya kijeshi kutoka ndani na nje ya nchi zitaonyesha bidhaa zao katika Kongamano la Majeshi ya Nchikavu litakalofanyika hivi karibuni nchini.
10 years ago
Habarileo12 Jul
Uandikishaji daftari la kudumu Dar sasa Julai 22
ZOEZI la uboreshaji daftari la kudumu la wapiga kura kwa mkoa wa Dar es Salaam limesogezwa mbele hadi Julai 22 mwaka huu.
10 years ago
Michuzi10 Jul
UBALOZI WA MAREKANI DAR ES SALAAM: MNADA WA HADHARA JUMAMOSI JULAI 11, 2015
UNIVERSAL AUCTION CENTRE Kwa idhini waliyopewa na Ubalozi wa Marekani watauza kwa mnada wa hadhara gari, generator, fanicha za ofisi na nyumbani, makontena na mashine za gym tarehe 11 Julai, 2015 Jumamosi saa 3:00 asubuhi. Mnada utafanyika Golden Resort Sinza, Lion Street.MALI ZITAKAZOUZWA:sofa sets, chest drawer, recliner, dressers, coffee table, book shelve, meza za ofisi/viti, dining table/chairs, carpet, hoover, vitanda, magodoro, fridges, freezer, cookers, TV set, washer, dryer,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VzIz5eC8kX0/VYl2VSOO_nI/AAAAAAAAeho/IZoo7Ls6HLQ/s72-c/10250303_10206017077179027_8235541703418217685_n.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Jul
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5iWXAqIFzr8/VYpUMFCI_dI/AAAAAAAAei8/EXr9n9UCzHk/s72-c/IMG-20150623-WA0048.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3jJOmUW6XpI/U8A8GwEzrwI/AAAAAAAF1O0/F3I5iUyVYR0/s72-c/Blog+(1).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uwKDBn54BLw/U8LIFraw7BI/AAAAAAAF13w/MDp1ULBYNkQ/s72-c/unnamed.jpg)
NAIBU WAZIRI ANGELLAH JASMINI KAIRUKI ZIARANI DAR ES SALAAM KUANZIA KESHO JULAI 14-18, 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-uwKDBn54BLw/U8LIFraw7BI/AAAAAAAF13w/MDp1ULBYNkQ/s1600/unnamed.jpg)
Pamoja na kujionea huduma hizi Mh. Naibu Waziri anatarajiwa kujionea ufanisi wa kazi zinazofanywa na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania