NAIBU WAZIRI ANGELLAH JASMINI KAIRUKI ZIARANI DAR ES SALAAM KUANZIA KESHO JULAI 14-18, 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-uwKDBn54BLw/U8LIFraw7BI/AAAAAAAF13w/MDp1ULBYNkQ/s72-c/unnamed.jpg)
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Jasmine Kairuki (MB) anatarajia kufanya ziara ya kikazi ya siku tano kuanzia Jumatatu, Julai 14 hadi Ijumaa 18, 2014 katika jiji la Dar Es Salaam akitembelea asasi mbalimbali zinazotoa huduma za msaada wa kisheria kwa wananchi kwa lengo la kujionea huduma zinazotolewa na asasi hizi ikiwa ni pamoja na kukutana na wananchi wanaopata huduma hii.
Pamoja na kujionea huduma hizi Mh. Naibu Waziri anatarajiwa kujionea ufanisi wa kazi zinazofanywa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MOZcckGDZxg/Ux9IPPDxZfI/AAAAAAAFS8c/G8RjYec8fOI/s72-c/011.jpg)
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Angellah Kairuki na mmiliki wa Bongo5 wachaguliwa kuwa miongoni mwa viongozi vijana duniani ‘Young Global Leaders 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-MOZcckGDZxg/Ux9IPPDxZfI/AAAAAAAFS8c/G8RjYec8fOI/s1600/011.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DLCByn-QGGs/Ux9IQJyPmdI/AAAAAAAFS8k/QFg9YQQlC3g/s1600/Luca-Neghesti-feb18-2013.jpg)
11 years ago
Michuzi07 Feb
Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki Azindua Kampeni Care For Me!
![Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Bi. Angellah Kairuki akifungua kitambaa kuashiria uzinduzi rasmi wa kampeni za 'Care For Me!' katika Kijiji cha SOS kilichopo jijini Dar es Salaam leo. Kampeni hizo za kuhamasisha jamii na makundi mbalimbali kuchangia na kumjali mtoto aliye katika mazingira hatarishi na yatima zinalenga kuwasaidia watoto zaidi ya 12,000 hadi kufikia mwisho wa kampeni yaani mwaka 2016.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/02/IMG_5548.jpg)
![Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Bi. Angellah Kairuki akitia saini sehemu maalumu kutoa ujumbe wake mara baada ya kufanya uzinduzi rasmi wa kampeni za 'Care For Me!' katika Kijiji cha SOS kilichopo jijini Dar es Salaam. Pamoja na mambo mengine fedha zitakazopatikana katika kapeni hiyo zitahakikisha zinaongeza idadi ya vituo vya SOS kuwasaidia watoto yatima na waliopo katika mazingira hatarishi.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/02/IMG_5555.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FIaywUYlZAU/VfmluBizCqI/AAAAAAAH5Yc/pTVN97u__oQ/s72-c/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
Taarifa kwa Umma kutoka kwa Angellah Kairuki, Naibu Waziri wa Ardhi, nyumba na Maendeleo ya Makazi
![](http://1.bp.blogspot.com/-FIaywUYlZAU/VfmluBizCqI/AAAAAAAH5Yc/pTVN97u__oQ/s400/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
Tarehe 14 Septemba 2015 ulisambazwa ujumbe kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ukidai kuonyesha mawasiliano ya Makada wa Chama cha Mapinduzi nikiwamo mimi (Angellah Kairuki), Nd. January Makamba, Nd.Mwigu Nchemba na Nd.Livingstone Lusinde. Wakati ujumbe huo umeanza kusambazwa nilikuwa kwenye mikutano ya Kampeni ya Mgombea Mwenza wa CCM Mhe.Samia Suluhu Hassan Wilayani Nachingwea na Liwale hivyo kupelekea kuchelewa kutoa taarifa yangu hii.
Napenda kuufahamisha umma...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5iWXAqIFzr8/VYpUMFCI_dI/AAAAAAAAei8/EXr9n9UCzHk/s72-c/IMG-20150623-WA0048.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Dq75gLB3mK0/VZRpQrxJWgI/AAAAAAAHmVA/-763h8m8pXE/s72-c/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
WARSHA YA KISAYANSI KUHUSU HUDUMA ZA HALI YA HEWA KUPITIA MODELI YA ‘PRECIS’, KUANZIA TAREHE 29 JUNI HADI 3 JULAI 2015, DAR ES SALAAM, TANZANIA.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3jJOmUW6XpI/U8A8GwEzrwI/AAAAAAAF1O0/F3I5iUyVYR0/s72-c/Blog+(1).jpg)
11 years ago
Michuzi25 Apr
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RYwqUX-wROQ/U1AbHyfQRMI/AAAAAAAFbiw/o37uzYdNzUA/s72-c/bb2bb1362f548b7866c5a726b59a8765.jpg)
MABADILIKO YA UELEKEO WA BARABARA KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM KUANZIA SIKU YA TAREHE 28/04/2014. TRAFFIC CIRCULATION AT CBD
2. RANGI YA BLUE MPAUKO - Njia ya Mielekeo Miwili {Two Way}
3. RANGI YA KIJANI - Mitaa ya Kutembea kwa Miguu Magari marufuku {Walking Streets}
4. RANGI NYEKUNDU - Barabara za kupita Daladala
5. RANGI YA BLUU ILIYOIVA - Barabara za DART
6. DUARA ZA NJANO - Mzunguuko {Roundabout}
7. MSALABA WA KIJANI - Makutano yenye Taa za kuongozea Magari {Singnalized Intersection}
![](http://4.bp.blogspot.com/-RYwqUX-wROQ/U1AbHyfQRMI/AAAAAAAFbiw/o37uzYdNzUA/s1600/bb2bb1362f548b7866c5a726b59a8765.jpg)
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA NYUMBA KAIRUKI ATEMBELEA GEREJI TEGETA