Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Angellah Kairuki na mmiliki wa Bongo5 wachaguliwa kuwa miongoni mwa viongozi vijana duniani ‘Young Global Leaders 2014

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.Angellah Kairuki (kushoto) pamoja na Mwanzilishi na Mwenyekiti Mtendaji (CEO) wa Bongo5 Media Group na Jefag Logistics Tanzania Ltd, Luca Neghesti (chini) wameteuliwa kuwa miongoni mwa viongozi vijana duniani, ‘Young Global Leaders 2014’
Watanzania hao wawili wameingia kwenye jopo hilo ambalo mwaka huu linaundwa na vijana 214 kutoka nchi 66 duniani kutoka serikalini na makampuni binafsi.
Mwaka huu Afrika ina wawakilishi 19 peke yake.
Idadi hiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi07 Feb
Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki Azindua Kampeni Care For Me!


11 years ago
Michuzi
NAIBU WAZIRI ANGELLAH JASMINI KAIRUKI ZIARANI DAR ES SALAAM KUANZIA KESHO JULAI 14-18, 2014

Pamoja na kujionea huduma hizi Mh. Naibu Waziri anatarajiwa kujionea ufanisi wa kazi zinazofanywa na...
10 years ago
Michuzi
Naibu Waziri wa Ardhi Mh. Angela Kairuki afungua mkutano wa 'Viongozi Wanawake Vijana Wanaochipukia'


10 years ago
Michuzi
Taarifa kwa Umma kutoka kwa Angellah Kairuki, Naibu Waziri wa Ardhi, nyumba na Maendeleo ya Makazi

Tarehe 14 Septemba 2015 ulisambazwa ujumbe kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ukidai kuonyesha mawasiliano ya Makada wa Chama cha Mapinduzi nikiwamo mimi (Angellah Kairuki), Nd. January Makamba, Nd.Mwigu Nchemba na Nd.Livingstone Lusinde. Wakati ujumbe huo umeanza kusambazwa nilikuwa kwenye mikutano ya Kampeni ya Mgombea Mwenza wa CCM Mhe.Samia Suluhu Hassan Wilayani Nachingwea na Liwale hivyo kupelekea kuchelewa kutoa taarifa yangu hii.
Napenda kuufahamisha umma...
10 years ago
Michuzi.jpg)
Mhe. Angellah Kairuki amkabidhi Ofisi Mhe. Ummy Mwalimu leo
.jpg)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
GPL
MHE. ANGELLAH KAIRUKI AMKABIDHI OFISI MHE. UMMY MWALIMU
11 years ago
Dewji Blog16 Apr
Angellah Kairuki asimikwa kuwa Kamanda wa UVCCM Same
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana (UVCCM, Ndg. Sixtus Mapunda akimkabidhiMhe. Angellah Kairuki (MB), Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, nyenzo za vitendea kazi za kimila wakati wakusimikwa kuwa Kamanda wa UVCCM wa Wilaya ya Same.
Katibu Mkuu wa Umojawa Vijana (UVCCM), Ndg. Sixtus Mapunda akimweleza majukumu ya Kamanda wa Vijana Mhe. Angellah Kairuki kabla ya kusimikwa kuwa Kamanda wa UV CCM wa Wilaya ya Same.
Mhe. Kairuki akila kiapo cha Kamanda Mpya wa UVCCM wa Wilaya ya Same wakati wa...
5 years ago
Michuzi
RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AMUAPISHA DKT. MWIGULU LAMECK NCHEMBA KUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA. CHATO MKOANI GEITA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mbunge wa Iramba Magharibi) kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , Mei 03, 2020.

Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10