Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EU kuzuia wapiganaji wa kigeni

Mawaziri wa mambo ya ndani wa EU wanajadili njia za kusitisha raia wa Ulaya waliopigana Syria kurejea nyumbani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Wachezaji wa kigeni wabanwa

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema mchezaji yeyote wa kigeni ambaye hatalipiwa Dola za Marekani 2000 (takriban Sh milioni 4.2) hatacheza kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara itakayoanza kutimua vumbi Jumamosi.

 

10 years ago

Mwananchi

Saba wa kigeni hawatoshi

Licha ya Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kubadili kanuni ya usajili wa wachezaji wa kigeni kwa kuongeza idadi kutoka watano mpaka saba, Yanga na Azam zimeonyesha kutofurahishwa na uamuzi huo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Argentina na fedha za kigeni

Argentina inasitisha masharti ya ubadilishaji wa fedha za kigeni ambayo yameimarisha sarafu ya taifa hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchezaji wa kigeni kulipa Tanzania

Kila mchezaji wa kigeni kulipa dola 2,000 ( wastani wa milioni 5) kwa kila msimu atakaocheza ligi kuu ya Tanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha wa kigeni kuendelea kulipwa

Serikali imeweka wazi kuwa itaendelea kumlipa mshahara kocha wa kigeni atakayeingia mkataba na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ajili ya kuinoa timu ya taifa ‘Taifa Stars’.

 

10 years ago

Mwananchi

Uhamisho nyota wa kigeni wapeta

Simba, Yanga na Azam FC zitawatumia wachezaji wake wa kigeni kufuatia kukamilishwa kwa taratibu za kuwaombea wachezaji hao Hati za Uhamisho wa Kimataifa (ITC) ndani ya muda uliopangwa.

 

10 years ago

Raia Mwema

Tufundishe na tujifunze lugha za kigeni

HAKUNA ubishi kwamba kuna tofauti kati ya mwanadamu aliyeishi maisha yake yote akifahamu lugha mo

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

BBCSwahili

Madaktari 3 wa kigeni wauawa Afghanistan

Mlinzi mmoja nchini Afghanistan amewaua kwa kuwapiga risasi madaktari 3 raia wa Marekani wanaofanya kazi katika hospitali moja mjini Kabul.

 

11 years ago

Mwananchi

Ruksa nyota watano wa kigeni

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara imeamua msimu ujao klabu zinazoshiriki ligi hiyo kusajili wachezaji watano wa kigeni badala ya wachezaji watatu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani