Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uhamisho nyota wa kigeni wapeta

Simba, Yanga na Azam FC zitawatumia wachezaji wake wa kigeni kufuatia kukamilishwa kwa taratibu za kuwaombea wachezaji hao Hati za Uhamisho wa Kimataifa (ITC) ndani ya muda uliopangwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ruksa nyota watano wa kigeni

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara imeamua msimu ujao klabu zinazoshiriki ligi hiyo kusajili wachezaji watano wa kigeni badala ya wachezaji watatu.

 

9 years ago

Habarileo

Maguri awatisha nyota wa kigeni

MSHAMBULIAJI Elias Maguri amezidi kuwawashia taa washambuliaji wa kigeni kwenye mbio za kuwania kiatu cha mfungaji bora baada ya juzi kuifungia mabao mawili timu yake.

 

9 years ago

Mwananchi

Nyota wa kigeni wakalia kuti kavu

Wakiwa wamebakiza miezi michache kwenye mikataba yao, baadhi ya wachezaji wa kigeni wanaocheza Ligi Kuu kuwapo kwao nchini,  kucheza soka ni bahati.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo yaliyoleta nyota wa kigeni nchini

Tangu kuanza kwa Ligi Kuu ya soka Tanzania mwaka 1965, katika miaka iliyokuwa na mafanikio, ni mwanzoni na mwishoni mwa miaka ya 1980.

 

9 years ago

BBCSwahili

Murray, Djokovic, Nadal wapeta Shanghai

Andy Murray apeta michuano ya Shanghai Masters

 

10 years ago

Dewji Blog

Waliojitoea Chadema wapeta ACT Wazalendo

Mwanahamisi Muyinga.

Makada wa Wawili wa Chadema Mbunge viti maalumu anayemaliza muda wake Chuki Abwao na aliyekuwa mmoja wa watia nia Jimbo la Kalenga aliyeshindwa kwenye kura za maoni wameibuka kidedea kwenye kura za maoni kuwania ubunge kupitia chama cha ACT Wazalendo.

Makada hao waliibuka washindi kwenye uchaguzi uliofanyika juzi Chuki Abwao akishinda jimbo la Iringa mjini na Mwanahamisi Jimbo la Kalenga.

Makada hao sasa wanasubiri vikao vya juu vya chama ili kuidininisha kuwania...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwakyembe, Malila wapeta kura za maoni Chadema

>Mkutano Maalumu wa Chadema Jimbo la Temeke umempitisha Bernard Mwakyembe kugombea ubunge katika jimbo hilo. Mwakyembe (33) alipata ushindi wa asilimia 66.7 kwa kuvuna kura 80 kati ya 120 katika mkutano uliotaka kuingia rabsha baada ya wajumbe kutoka Kata ya Sandari kuzuiwa kupiga kura kutokana na kutokidhi vigezo vya katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

Vitenge vya nyota nyota vyatikisa

Licha ya kuwepo kwa matoleo ya aina mbalimbali za vitenge kwa mwaka huu vipo ambavyo vimeonekana kukubalika na kuvaliwa zaidi.

 

10 years ago

Mtanzania

Ali Kiba, Diamond, Jux wapeta tuzo za Kili

Diamondalikiba1juxNA ZAITUNI KIBWANA
WASANII wa muziki wa bongo fleva, Ali Kiba, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Juma Jux, wameingia katika vinyang’anyiro sita vinavyogombewa katika tuzo za muziki ‘Kili Music Award’.
Ali Kiba ameingia kwenye kipengele cha mtumbuizaji bora wa muziki wa kiume, wimbo bora wa mwaka, mwimbaji bora wa kiume, mtunzi bora, video bora ya mwaka na mwimbaji bora wa Afro-Pop.
Naye Diamond ameingia kwenye kipengele cha mtumbuizaji bora, mwimbaji bora, mtunzi bora, wimbo bora wa Zouk, wimbo bora...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani