Uhamisho nyota wa kigeni wapeta
Simba, Yanga na Azam FC zitawatumia wachezaji wake wa kigeni kufuatia kukamilishwa kwa taratibu za kuwaombea wachezaji hao Hati za Uhamisho wa Kimataifa (ITC) ndani ya muda uliopangwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 May
Ruksa nyota watano wa kigeni
9 years ago
Habarileo23 Oct
Maguri awatisha nyota wa kigeni
MSHAMBULIAJI Elias Maguri amezidi kuwawashia taa washambuliaji wa kigeni kwenye mbio za kuwania kiatu cha mfungaji bora baada ya juzi kuifungia mabao mawili timu yake.
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Nyota wa kigeni wakalia kuti kavu
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Mambo yaliyoleta nyota wa kigeni nchini
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
10 years ago
Dewji Blog09 Aug
Waliojitoea Chadema wapeta ACT Wazalendo
Mwanahamisi Muyinga.
Makada wa Wawili wa Chadema Mbunge viti maalumu anayemaliza muda wake Chuki Abwao na aliyekuwa mmoja wa watia nia Jimbo la Kalenga aliyeshindwa kwenye kura za maoni wameibuka kidedea kwenye kura za maoni kuwania ubunge kupitia chama cha ACT Wazalendo.
Makada hao waliibuka washindi kwenye uchaguzi uliofanyika juzi Chuki Abwao akishinda jimbo la Iringa mjini na Mwanahamisi Jimbo la Kalenga.
Makada hao sasa wanasubiri vikao vya juu vya chama ili kuidininisha kuwania...
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Mwakyembe, Malila wapeta kura za maoni Chadema
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Vitenge vya nyota nyota vyatikisa
10 years ago
Mtanzania30 Apr
Ali Kiba, Diamond, Jux wapeta tuzo za Kili
NA ZAITUNI KIBWANA
WASANII wa muziki wa bongo fleva, Ali Kiba, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Juma Jux, wameingia katika vinyang’anyiro sita vinavyogombewa katika tuzo za muziki ‘Kili Music Award’.
Ali Kiba ameingia kwenye kipengele cha mtumbuizaji bora wa muziki wa kiume, wimbo bora wa mwaka, mwimbaji bora wa kiume, mtunzi bora, video bora ya mwaka na mwimbaji bora wa Afro-Pop.
Naye Diamond ameingia kwenye kipengele cha mtumbuizaji bora, mwimbaji bora, mtunzi bora, wimbo bora wa Zouk, wimbo bora...