Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliojitoea Chadema wapeta ACT Wazalendo

Mwanahamisi Muyinga.

Makada wa Wawili wa Chadema Mbunge viti maalumu anayemaliza muda wake Chuki Abwao na aliyekuwa mmoja wa watia nia Jimbo la Kalenga aliyeshindwa kwenye kura za maoni wameibuka kidedea kwenye kura za maoni kuwania ubunge kupitia chama cha ACT Wazalendo.

Makada hao waliibuka washindi kwenye uchaguzi uliofanyika juzi Chuki Abwao akishinda jimbo la Iringa mjini na Mwanahamisi Jimbo la Kalenga.

Makada hao sasa wanasubiri vikao vya juu vya chama ili kuidininisha kuwania...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mfadhili wa Chadema atimkia ACT Wazalendo

Aliyekuwa mfadhili wa Chadema Jimbo la Musoma Mjini mkoani Mara, Dk Eliud Tongola amejiunga na Chama cha ACT-Wazalendo kinachoongozwa na Zitto Kabwe.

 

10 years ago

Mwananchi

Waliotemwa Chadema washinda ACT Wazalendo

Kada aliyewania ubunge kupitia Chadema katika Jimbo la Kalenga na kutemwa kwenye kura za maoni, Mwanahamisi Muyinga ameibuka mshindi wa kura hizo katika jimbo hilohilo kupitia chama cha ACT-Wazalendo.

 

9 years ago

Mwananchi

Umeya wavipasua vichwa Chadema, ACT Wazalendo

Uchaguzi wa umeya katika mji wa Moshi, Kigoma Ujiji na Jiji la Arusha unaonekana kuwa kaa la moto katika vyama vya upinzani ambavyo ndivyo vinaongoza katika miji hiyo miwili. 

 

10 years ago

CloudsFM

ACT-Wazalendo Kuvuna Wabunge Kutoka CCM na CHADEMA

Baada ya vumbi la uchaguzi mkuu kuanza kumtika tumeona kura za maoni zinazoendelea kupigwa kutoka Chadema na CCM kwenye kila jimbo.

Chadema wanachagua wagombea ili baadae watakapokubaliana na wenzao CUF, NCCR Mageuzi, NLD, itabidi baadhi ya Majimbo wapewe vyama hivyo ambavyo vipo kwenye umoja huo UKAWA.

Na hapo ndiyo utazuka mgogoro mkubwa wa baadhi ya wagombea ambao majimbo yao watapewa UKAWA, hapo ndipo ACT-Wazalendo watakapojipatia wagombea wanaokubalika na kuwasimamisha kama wagombea wa...

 

10 years ago

Vijimambo

LISSU AWAZUIA WABUNGE WA CHADEMA KUHUDHURIA UZINDUZI WA ACT-WAZALENDO


Lissu awazuia wabunge wa chadema kuhudhuria uzinduzi wa act-wazalendo.Lissu awazuia wabunge wa Chadema kuhudhuria Uzinduzi wa Chama cha ACT-WAZALENDO. Amesema atakaye hudhuria ni msaliti ndani ya Chadema na hatua kali zitachukuliwa dhidi ya mbunge huyo

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE CHIKU ABWAO WA CHADEMA AMFUATA ZITTO KABWE ACT-WAZALENDO

 Katibu wa Mipango na Mikakati wa Chama cha ACT-Wazalendo, Habibu Mchange (kushoto), akimkabidhi kadi ya chama hicho, aliyekuwa mbunge wa Viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Iringa mjini, Chiku Abwao baada ya kuhamia rasmi ACT-Wazalendo Dar es Salaam leo mchana. Mbunge Chiku Abwao (kulia), akionesha kadi ya chama cha ACT-Wazalendo baada ya kukabidhiwa.
  Mbunge Chiku Abwao (kulia), akizungumza na wanahabari baada ya kukabidhiwa kadi ya chama cha ACT-Wazalendo.

 

9 years ago

Vijimambo

CHADEMA YASAMBARATIKA LUDEWA BAADA YA WANACHAMA WAKE ZAIDI YA 500 WAHAMIA ACT - WAZALENDO

Wanachama  wa Chadema wilaya ya  Ludewa  mkoa wa  Njombe  wakiandamana  kupinga  maamuzi ya  chama  hicho  kukata  jina la mshindi  wa  kura  za maoni na  kumteua  aliyeshindwa ,mbali ya  kuandamana  pia  wanachama  hao  zaidi ya  500  walikihama  chama  hicho na  kujiunga na  ACT  WazalendoWanachama  wa  Chadema  waliohamia ACT wazalendo  wakiwa na  mabango ya  kukituhumu  chama   hicho  kwa  kukiuka  DemokrasiaWanachadema  wakiwa  nje ya  ofisi ya  ACT  Wazalendo  ambako  walifika  kuomba ...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwakyembe, Malila wapeta kura za maoni Chadema

>Mkutano Maalumu wa Chadema Jimbo la Temeke umempitisha Bernard Mwakyembe kugombea ubunge katika jimbo hilo. Mwakyembe (33) alipata ushindi wa asilimia 66.7 kwa kuvuna kura 80 kati ya 120 katika mkutano uliotaka kuingia rabsha baada ya wajumbe kutoka Kata ya Sandari kuzuiwa kupiga kura kutokana na kutokidhi vigezo vya katiba.

 

10 years ago

GPL

MWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO‏

 Mwenyekiti wa ACT-Tanzania,  Lucas Kadawi Limbu.   Mwenyekiti wa ACT-Tanzania,  Lucas Kadawi Limbu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, ambapo alipinga Msajili wa Vyama Siasa Nchini, Jaji Francis Mtungi kubadilisha jina la chama cha ACT-Tanzania na kuwa ACT-Wazalendo bila ya kufuata utaratibu. Kulia ni Katibu Muenezi wa chama hicho, Fredy Kisena na Katibu Mkuu wa chama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani