CHADEMA YASAMBARATIKA LUDEWA BAADA YA WANACHAMA WAKE ZAIDI YA 500 WAHAMIA ACT - WAZALENDO
![](http://2.bp.blogspot.com/-2XUW1iDXwK4/VdekfLA-LEI/AAAAAAAB_8U/nlgOcvz7jNA/s72-c/IMG_1554.jpg)
Wanachama wa Chadema wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe wakiandamana kupinga maamuzi ya chama hicho kukata jina la mshindi wa kura za maoni na kumteua aliyeshindwa ,mbali ya kuandamana pia wanachama hao zaidi ya 500 walikihama chama hicho na kujiunga na ACT Wazalendo
Wanachama wa Chadema waliohamia ACT wazalendo wakiwa na mabango ya kukituhumu chama hicho kwa kukiuka DemokrasiaWanachadema wakiwa nje ya ofisi ya ACT Wazalendo ambako walifika kuomba ...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L0vo7-YdQQJYspm7mjXRF8*IwqwnoiV1d5B61VTj7lLK2LEOO9T8LxW-HqPe*UA9s8GGYnacNKoOcMyTKat4tZGYNNRPdMSy/cdm3.jpg?width=650)
MPASUKO MKUBWA CHADEMA LUDEWA, WANACHAMA WAKE WAHAMIA ACT
9 years ago
StarTV09 Oct
Zaidi ya wanachama 900 wa CHADEMA wahamia CCM
Zaidi ya wanachama 900 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wengi wao wakiwa vijana wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM katika Jimbo la Sengerema mkoani Mwanza.
Maamuzi ya wanachama hao yametokana na kampeni za kunadi sera ya CCM zinazoendelea katika Jimbo hilo ambazo zinafanywa na mgombea ubunge na madiwani.
Mmoja kati ya vijana ambao wamekihama Chama cha CHADEMA na kujiunga na CCM, akielezea sababu za kukihama chama hicho katika mkutano wa kampeni ambao...
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Wanachama CCM wahamia Chadema
10 years ago
Vijimambo16 Nov
WANACHAMA CHADEMA KALENGA MKOANI IRINGA WAHAMIA CCM
10 years ago
VijimamboMWALIMU "AIBOMOA" CCM SINGIDA, WANACHAMA LUKUKI WAHAMIA CHADEMA
9 years ago
Mwananchi19 Sep
Wanachama CCM watimkia ACT- Wazalendo
9 years ago
Habarileo23 Sep
Diwani CCM na wake zake wahamia ACT
MAKAMU Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea na diwani wa kata ya Gumbiro kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM), Andrew Mhagama pamoja na wake zake wawili wamejiunga na Chama cha ACTWazalendo.
10 years ago
Mwananchi13 Apr
‘Marufuku wanachama wa ACT - Wazalendo kushabikia Ukawa’
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Mfadhili wa Chadema atimkia ACT Wazalendo