MPASUKO MKUBWA CHADEMA LUDEWA, WANACHAMA WAKE WAHAMIA ACT

Baadhi ya wanachama wa Chadema wilayani Ludewa wakiwa na mabango wakati wa maanadamano leo. WANACHAMA zaidi ya 500 wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilayani Ludewa Mkoani Njombe wamekihama chama hicho na kujiunga na chama cha ACT Wazalendo wakipinga hatua ya uongozi wa juu wa chama hicho kukata jina la mshindi wa kwanza wa kura za maoni Bw. Ocol Haule na kumteua aliyekuwa mshindi… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
CHADEMA YASAMBARATIKA LUDEWA BAADA YA WANACHAMA WAKE ZAIDI YA 500 WAHAMIA ACT - WAZALENDO



10 years ago
Mwananchi16 Sep
Wanachama CCM wahamia Chadema
10 years ago
StarTV09 Oct
Zaidi ya wanachama 900 wa CHADEMA wahamia CCM
Zaidi ya wanachama 900 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wengi wao wakiwa vijana wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM katika Jimbo la Sengerema mkoani Mwanza.
Maamuzi ya wanachama hao yametokana na kampeni za kunadi sera ya CCM zinazoendelea katika Jimbo hilo ambazo zinafanywa na mgombea ubunge na madiwani.
Mmoja kati ya vijana ambao wamekihama Chama cha CHADEMA na kujiunga na CCM, akielezea sababu za kukihama chama hicho katika mkutano wa kampeni ambao...
10 years ago
Vijimambo16 Nov
WANACHAMA CHADEMA KALENGA MKOANI IRINGA WAHAMIA CCM
10 years ago
VijimamboMWALIMU "AIBOMOA" CCM SINGIDA, WANACHAMA LUKUKI WAHAMIA CHADEMA
10 years ago
Habarileo23 Sep
Diwani CCM na wake zake wahamia ACT
MAKAMU Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea na diwani wa kata ya Gumbiro kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM), Andrew Mhagama pamoja na wake zake wawili wamejiunga na Chama cha ACTWazalendo.
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
CCM Singida yabomoa CHADEMA kwa kukomba wanachama wake 150



11 years ago
GPLCHAMA CHA CCM IRINGA CHAWASHANGAA CHADEMA KUZUIA WANACHAMA WAKE KUNYWA MAZIWA
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Madiwani wawili Chadema wahamia CCM