Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diwani CCM na wake zake wahamia ACT

MAKAMU Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea na diwani wa kata ya Gumbiro kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM), Andrew Mhagama pamoja na wake zake wawili wamejiunga na Chama cha ACTWazalendo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MPASUKO MKUBWA CHADEMA LUDEWA, WANACHAMA WAKE WAHAMIA ACT

Baadhi ya wanachama wa Chadema wilayani Ludewa wakiwa na mabango wakati wa maanadamano leo. WANACHAMA zaidi ya 500 wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilayani Ludewa Mkoani Njombe wamekihama chama hicho na kujiunga na chama cha ACT Wazalendo wakipinga hatua ya uongozi wa juu wa chama hicho kukata jina la mshindi wa kwanza wa kura za maoni Bw. Ocol Haule na kumteua aliyekuwa mshindi… ...

 

9 years ago

Vijimambo

CHADEMA YASAMBARATIKA LUDEWA BAADA YA WANACHAMA WAKE ZAIDI YA 500 WAHAMIA ACT - WAZALENDO

Wanachama  wa Chadema wilaya ya  Ludewa  mkoa wa  Njombe  wakiandamana  kupinga  maamuzi ya  chama  hicho  kukata  jina la mshindi  wa  kura  za maoni na  kumteua  aliyeshindwa ,mbali ya  kuandamana  pia  wanachama  hao  zaidi ya  500  walikihama  chama  hicho na  kujiunga na  ACT  WazalendoWanachama  wa  Chadema  waliohamia ACT wazalendo  wakiwa na  mabango ya  kukituhumu  chama   hicho  kwa  kukiuka  DemokrasiaWanachadema  wakiwa  nje ya  ofisi ya  ACT  Wazalendo  ambako  walifika  kuomba ...

 

9 years ago

Vijimambo

VIONGOZI WOTE WA CCM WA KATA YA MKOMAZI NA WAPIGA KURA 1,400 WA CCM WAHAMIA CHADEMA


Viongozi wote wa CCM wa kata ya mkomazi na pamoja na wapiga kura 1,400 wa eneo hilo wilayani Korogwe wamejiunga na CHADEMA huku baadhi yao wakiamua kugombea nafasi mbali mbali za uongozi kwa tiketi ya chama hicho.

Wakizungumza katika mkutano wa kampeni ulifanyika katika kijiji cha mikocheni kilichopo kata ya mkomazi wilayani Korogwe baadhi ya viongozi hao pamoja na wengine wa CCM katika kata sita waliokatwa majina yao katika zoezi la kura za maoni kwa tiketi ya CCM wamesema  wameamua kujiunga...

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa wahamia Iringa, Mungai aibuka na kumnadi mtoto wake

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa amesema amechoshwa na manyanyaso wanayoendelea kuyapata wakulima hapa nchi kwa kukopwa mazao yao na kutozwa ushuru na serilkali bila ya wao kupata faida yoyote.

 

5 years ago

CCM Blog

CHAMA CHA ACT-WAZALENDO CHAPATA MAAFA KIGOMA, MADIWANI WAKE WATANO WANG'OKA NA KUHAMIA CCM, LEO

Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Kagera katika Manispaa ya Kigoma-Ujiji kwa tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo kinachoongozwa na Zitto Kabwe, Ismail Mahamudu  akizungumza mbele ya waandishi wa habari, baada ya yeye na madiwani wengine wanne wa chama hicho, kutangaza kung'oka ACT-Wazalendo.na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika mkutano na waandishi hao uliofanyika leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally na...

 

9 years ago

Mwananchi

Wanachama CCM wahamia Chadema

Baadhi ya wanachama wa CCM akiwamo Mwenyekiti wa Kata ya Naisinyai wilayani Simanjiro, Mosses Makeseni wamejiunga na Chadema kwa madai kuwa chama tawala hakijaleta maendeleo.

 

11 years ago

Mwananchi

Madiwani wawili Chadema wahamia CCM

Madiwani wawili wa Chadema kutoka Kata ya Ngokolo, Sebastian Peter na wa Kata ya Masekelo, Zacharia Mfuko zilizopo Shinyanga Mjini wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga CCM.

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa yameguka Handeni, 115 wahamia CCM

Wanachama 115 wa Chadema na CUF wilayani Handeni Mkoa wa Tanga, wamejiunga na CCM kwa madai kuwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umeshindwa kuelewana hadi kipindi cha Uchaguzi Mkuu.

 

9 years ago

StarTV

Zaidi ya wanachama 900 wa CHADEMA wahamia CCM

Zaidi ya wanachama 900 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wengi wao wakiwa vijana wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM katika Jimbo la Sengerema mkoani Mwanza.

Maamuzi ya wanachama hao yametokana na kampeni za kunadi sera ya CCM zinazoendelea katika Jimbo hilo ambazo zinafanywa na mgombea ubunge na madiwani.

Mmoja kati ya vijana ambao wamekihama Chama cha CHADEMA na kujiunga na CCM, akielezea  sababu za kukihama chama hicho katika mkutano wa kampeni ambao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani