Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANACHAMA CHADEMA KALENGA MKOANI IRINGA WAHAMIA CCM

Wananchi wa Lyamgungwe wakiwa wameongozana na mbunge wake kwenda kutembelea miradi ya maendeleoMbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa kulia akipokea kadi ya CHADEMA kutoka kwa mmoja kati ya viongozi wa CHADEMA kata ya Lyamgungwe aliyehamia CCMMbunge Mgimwa akikagua miradi ya maendeleo jimboni kwakeKada wa CHADEMA (kulia) akipongezwa na mbunge Mgimwa baada ya kujiunga na CCMMbunge Mgimwa akizungumza na wananchi wake baada ya kupokea wana chama wa CHADEMA Picha na habari kwa hisani ya ...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Wanachama CCM wahamia Chadema

Baadhi ya wanachama wa CCM akiwamo Mwenyekiti wa Kata ya Naisinyai wilayani Simanjiro, Mosses Makeseni wamejiunga na Chadema kwa madai kuwa chama tawala hakijaleta maendeleo.

 

9 years ago

StarTV

Zaidi ya wanachama 900 wa CHADEMA wahamia CCM

Zaidi ya wanachama 900 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wengi wao wakiwa vijana wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM katika Jimbo la Sengerema mkoani Mwanza.

Maamuzi ya wanachama hao yametokana na kampeni za kunadi sera ya CCM zinazoendelea katika Jimbo hilo ambazo zinafanywa na mgombea ubunge na madiwani.

Mmoja kati ya vijana ambao wamekihama Chama cha CHADEMA na kujiunga na CCM, akielezea  sababu za kukihama chama hicho katika mkutano wa kampeni ambao...

 

10 years ago

Vijimambo

MWALIMU "AIBOMOA" CCM SINGIDA, WANACHAMA LUKUKI WAHAMIA CHADEMA

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar, Salum Mwalimu akiwalisha kiapo cha uzalendo wanachama wapya katika Kijiji cha Msange, Jimbo la Singida Kaskazini, Wilaya ya Singida Vijijini, mkoani Singida waliohama kutoka Chama Cha Mapinduzi, katika moja ya mikutano 'Operesheni Delete CCM', uliofanyika mwishoni mwa juma kijijini hapo.Wananchi wapatao 350 waliokuwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kijiji cha Msange, Jimbo la Singida Kaskazini, Wilaya ya Singida Vijijini, mkoani Singida wakiwa...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM

 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kijiji cha Wangama, Fred Mgata (kulia) akikabidhi kadi za chyama hicho kwa Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga baada ya yeye na wanachama wengine 50 wa Chadema kuamua kukihama na kujiunga CCM katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika  katika Kijiji hicho kilichopo Kata ya Luhota, Iringa Vijijini leo. Mgombea ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chadema ambaye ni mzaliwa wa kijiji hicho,  Grace Tendega alikuwa chini ya...

 

11 years ago

Michuzi

CHADEMA YAENDELEA NA KAMPENI ZAKE ZA UCHAGUZI JIMBO LA KALENGA MKOANI IRINGA

 Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema taifa, John Heche, akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Lumuli, wakati wa kampeni za kumnadi mgombea wa ubunge katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Kalenga kupitia chama hicho, Grace Tendega uliofanyika kijijini hapo jana.
 Meneja wa Kampeni za mgombea ubunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Alphonce Mawazo, akimwelezea mtoto Zakina Miwela, anayesoma darasa la pili katika Shule ya Msingi Lumuli, ambaye ni mtoto wa kiongozi wa CCM...

 

11 years ago

GPL

MSAFARA WA MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA KALENGA AZUIWA NA POLISI MKOANI IRINGA

Polisi mkoani Iringa wakiwa  wamezuia msafara  wa mgombea    ubunge jimbo la Kalenga,  Bi Grace Tendega kupitia Chadema kwa madai  hawakuwa na kibali cha kufanya  maandamano  hayo ya magari  hapa  ni eneo la lango la mji Samora ambapo msafara huo  ulikuwa ukitokea maeneo la Ndiuka kuelekea kwa msimamizi wa uchaguzi  ili kuchukua fomu. Mgombea  ubunge wa  Chadema Kalenga, Grace...

 

11 years ago

Michuzi

MWIGULU NCHEMBA AMNADI MGOMBEA WA CCM JIMBO LA KALENGA,MKOANI IRINGA LEO

Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Bara Mwigulu Nchemaba akimnadi mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga Gedfrey Mgimwa, katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM uliofanyika leo, kwenye Uwanja wa Chuo Cha Ifunda, Iringa Vijijini. (Picha na Bashir Nkoromo).

 

10 years ago

GPL

CHAMA CHA CCM IRINGA CHAWASHANGAA CHADEMA KUZUIA WANACHAMA WAKE KUNYWA MAZIWA

Katibu  wa  CCM  mkoa  wa Iringa, Bw.Hassan Mtenga.   CHAMA  cha mapinduzi (CCM) mkoa  wa Iringa chakishangaa chama cha demokrasia na maendeo (CHADEMA) kwa  kuwazuia  wanachama  wake  mjini Iringa  kunywa maziwa  ya  Asas Dairies Ltd Akizungumza na  waandishi  wa habari  ofisini  kwake jana katibu  wa  CCM  mkoa  wa Iringa  Hassan Mtenga  alisema ...

 

9 years ago

GPL

MPASUKO MKUBWA CHADEMA LUDEWA, WANACHAMA WAKE WAHAMIA ACT

Baadhi ya wanachama wa Chadema wilayani Ludewa wakiwa na mabango wakati wa maanadamano leo. WANACHAMA zaidi ya 500 wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilayani Ludewa Mkoani Njombe wamekihama chama hicho na kujiunga na chama cha ACT Wazalendo wakipinga hatua ya uongozi wa juu wa chama hicho kukata jina la mshindi wa kwanza wa kura za maoni Bw. Ocol Haule na kumteua aliyekuwa mshindi… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani