Mfadhili wa Chadema atimkia ACT Wazalendo
Aliyekuwa mfadhili wa Chadema Jimbo la Musoma Mjini mkoani Mara, Dk Eliud Tongola amejiunga na Chama cha ACT-Wazalendo kinachoongozwa na Zitto Kabwe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania13 Aug
Mfadhili Chadema ajiunga ACT
MFADHILI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jimbo la Musoma Mjini, Dk. Eliud Tongola, amejiengua chama hicho na kujiunga na ACT-Wazalendo.
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na ACT –Wazalendo, chama hicho kimekiri Dk. Tongola kujiunga nacho.
Kwa takriban miaka minne alikuwa akilipia pango la ofisi za Chadema jimboni humo.
Dk. Tongola alisema kilichomtoa Chadema ni kuona viongozi wakiwa na wagombea wao mfukoni.
Alisema mchakato wa kuchukua...
10 years ago
Mwananchi10 Aug
Waliotemwa Chadema washinda ACT Wazalendo
10 years ago
Dewji Blog09 Aug
Waliojitoea Chadema wapeta ACT Wazalendo
Mwanahamisi Muyinga.
Makada wa Wawili wa Chadema Mbunge viti maalumu anayemaliza muda wake Chuki Abwao na aliyekuwa mmoja wa watia nia Jimbo la Kalenga aliyeshindwa kwenye kura za maoni wameibuka kidedea kwenye kura za maoni kuwania ubunge kupitia chama cha ACT Wazalendo.
Makada hao waliibuka washindi kwenye uchaguzi uliofanyika juzi Chuki Abwao akishinda jimbo la Iringa mjini na Mwanahamisi Jimbo la Kalenga.
Makada hao sasa wanasubiri vikao vya juu vya chama ili kuidininisha kuwania...
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Umeya wavipasua vichwa Chadema, ACT Wazalendo
10 years ago
CloudsFM25 Jul
ACT-Wazalendo Kuvuna Wabunge Kutoka CCM na CHADEMA
Baada ya vumbi la uchaguzi mkuu kuanza kumtika tumeona kura za maoni zinazoendelea kupigwa kutoka Chadema na CCM kwenye kila jimbo.
Chadema wanachagua wagombea ili baadae watakapokubaliana na wenzao CUF, NCCR Mageuzi, NLD, itabidi baadhi ya Majimbo wapewe vyama hivyo ambavyo vipo kwenye umoja huo UKAWA.
Na hapo ndiyo utazuka mgogoro mkubwa wa baadhi ya wagombea ambao majimbo yao watapewa UKAWA, hapo ndipo ACT-Wazalendo watakapojipatia wagombea wanaokubalika na kuwasimamisha kama wagombea wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-8Q3RNVOW9bY/VRWEaN4RiQI/AAAAAAAAq0c/9qzzVl5pYRI/s72-c/Tundu-Lisu.jpg)
LISSU AWAZUIA WABUNGE WA CHADEMA KUHUDHURIA UZINDUZI WA ACT-WAZALENDO
![](http://2.bp.blogspot.com/-8Q3RNVOW9bY/VRWEaN4RiQI/AAAAAAAAq0c/9qzzVl5pYRI/s640/Tundu-Lisu.jpg)
Lissu awazuia wabunge wa chadema kuhudhuria uzinduzi wa act-wazalendo.Lissu awazuia wabunge wa Chadema kuhudhuria Uzinduzi wa Chama cha ACT-WAZALENDO. Amesema atakaye hudhuria ni msaliti ndani ya Chadema na hatua kali zitachukuliwa dhidi ya mbunge huyo
10 years ago
VijimamboMBUNGE CHIKU ABWAO WA CHADEMA AMFUATA ZITTO KABWE ACT-WAZALENDO
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-2XUW1iDXwK4/VdekfLA-LEI/AAAAAAAB_8U/nlgOcvz7jNA/s72-c/IMG_1554.jpg)
CHADEMA YASAMBARATIKA LUDEWA BAADA YA WANACHAMA WAKE ZAIDI YA 500 WAHAMIA ACT - WAZALENDO
![](http://2.bp.blogspot.com/-2XUW1iDXwK4/VdekfLA-LEI/AAAAAAAB_8U/nlgOcvz7jNA/s640/IMG_1554.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7vUFCXMnHi8/VdeYaviamMI/AAAAAAAB_38/dfrvdHoYAbo/s640/DSC_0183.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XY3dKW-a8Y0/VdeYf7FWkBI/AAAAAAAB_4I/4nLiX0-FGQM/s640/DSC_0200.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Mfadhili wa CCM ahamia CHADEMA
KADA maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mfadhili wa chama hicho, Sanito Samson na mkewe, Dativa Sanito, wamehamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakielezea kuchoshwa kuchangishwa fedha au...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10