Mfadhili Chadema ajiunga ACT
MFADHILI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jimbo la Musoma Mjini, Dk. Eliud Tongola, amejiengua chama hicho na kujiunga na ACT-Wazalendo.
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na ACT –Wazalendo, chama hicho kimekiri Dk. Tongola kujiunga nacho.
Kwa takriban miaka minne alikuwa akilipia pango la ofisi za Chadema jimboni humo.
Dk. Tongola alisema kilichomtoa Chadema ni kuona viongozi wakiwa na wagombea wao mfukoni.
Alisema mchakato wa kuchukua...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Mfadhili wa Chadema atimkia ACT Wazalendo
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Mfadhili wa CCM ahamia CHADEMA
KADA maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mfadhili wa chama hicho, Sanito Samson na mkewe, Dativa Sanito, wamehamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakielezea kuchoshwa kuchangishwa fedha au...
10 years ago
Mtanzania10 Apr
Mtoto wa Jaji Warioba ajiunga ACT
Na Esther Mbussi, Dar es Salaam
MTOTO wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amejiunga na Chama cha Alliance for Change &Transparency-Tanzania (ACT).
Binti huyo aliyejiandikisha kwa jina la June Warioba, alichukua kadi ya kujiunga na chama hicho makao makuu ya chama hicho Kijitonyama mjini Dar es Salaam jana.
Hata hivyo, June alikataa kupigwa picha wala kuzungumza na waandishi wa habari waliokuwapo ofisini hapo.
Aliingia ofisini hapo saa 4 asubuhi ambapo...
10 years ago
GPLAFANDE SELE NAYE AJIUNGA RASMI NA ACT
10 years ago
Vijimambo17 Jul
MSANII MAARUFU WA FILAMU AJIUNGA NA ACT WAZALEND
![Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi kadi msanii maarufu wa filamu nchini, Mohamed Mwikongi jina la sanaa 'Frank' alipotambulishwa mara baada ya kujiunga na chama hicho.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0085.jpg)
![Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi aliyekuwa Mwenyekiti wa kitengo cha vijana Taifa wa NCCR Mageuzi, Deo Meck alipotangazwa kujiunga na chama hicho rasmi leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0047.jpg)
![Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi kadi na katiba msanii maarufu wa filamu nchini, Mohamed Mwikongi jina la sanaa 'Frank' alipotambulishwa mara baada ya kujiunga na chama hicho.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0080.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dR7VlBJbj-k/Vbe22VaktvI/AAAAAAAB3ZU/63aG-w-RXqA/s72-c/11816211_949736651758974_3107443785771653231_o.jpg)
Aliyekuwa mbunge wa viti maalum kwa tiketi ya CUF ajiunga na ACT wazalendo
![](http://3.bp.blogspot.com/-dR7VlBJbj-k/Vbe22VaktvI/AAAAAAAB3ZU/63aG-w-RXqA/s640/11816211_949736651758974_3107443785771653231_o.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Mar
EXCLUSIVE: Zitto ajiunga rasmi na Chama cha ACT-Tanzania, akabidhiwa kadi namba 007194
Mh. Zitto Kabwe akilipa kwa ajili ya usajili wa kadi ya uanachama wa ACT.
...Kumwaga ‘mboga’ mbele ya wandishi wa Habari Jumapili hii Machi 22
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Hayawi hayawi…Sasa yamekuwa licha ya kusemwa sana kwa muda mrefu juu ya kuhusishwa na chama kipya cha siasa cha ACT-Tanzania dhidi ya aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Ruyagwa Kabwe sasa yamekuwa kweli kwa Mbunge huyo baada ya leo Jumamosi ya Machi 21, kupokelewa rasmi na chama hicho na kukabidhiwa kadi yake...
10 years ago
Michuzi17 Jul
MSANII MAARUFU WA FILAMU AJIUNGA NA ACT WAZALENDO, KALENDA YA UCHUKUAJI FOMU YA CHAMA HICHO YATANGAZWA
![Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi kadi msanii maarufu wa filamu nchini, Mohamed Mwikongi jina la sanaa 'Frank' alipotambulishwa mara baada ya kujiunga na chama hicho.](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/MDe-0VxaXixuKMVHYLnUl7-ojXfnGOOwkw9fxz0OdGSGHCcoC5yeDoijwOug7IBHbSdh3yB63PHrnM11TE6IThN9CTOBNRLvdF0uIgnr7bV9G71b5V0=s0-d-e1-ft#http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0085.jpg)
![Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi aliyekuwa Mwenyekiti wa kitengo cha vijana Taifa wa NCCR Mageuzi, Deo Meck alipotangazwa kujiunga na chama hicho rasmi leo jijini Dar es Salaam.](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/IHN1LFHDY-cen7TUS4BMPNI4qMJnBT58w_cGuBMlj9PKvFdv-QwJuBdiSj38fKJM8gT4DHFxrGlwpiQAKzSyET0Pt_-i4dxaWVDqy3swsyVtBGBWt9o=s0-d-e1-ft#http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0047.jpg)
![Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi kadi na katiba msanii maarufu wa filamu nchini, Mohamed Mwikongi jina la sanaa 'Frank' alipotambulishwa mara baada ya kujiunga na chama hicho.](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/RP4-so2s1aKUJXsH4QVim4D4IB_kazdQIEN34QxVJtL7RcQKyiFxOgmWEpX_eQOo_YB76UwHXGU6RDRuRRbOYpO0patz4_I82abddVw273afvdOJExo=s0-d-e1-ft#http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0080.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Kigogo UVCCM ajiunga CHADEMA
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilayani Siha, Godwin Mollel ametangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mollel aliyeachia ngazi kwenye chama hicho...