Mtoto wa Jaji Warioba ajiunga ACT
Na Esther Mbussi, Dar es Salaam
MTOTO wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amejiunga na Chama cha Alliance for Change &Transparency-Tanzania (ACT).
Binti huyo aliyejiandikisha kwa jina la June Warioba, alichukua kadi ya kujiunga na chama hicho makao makuu ya chama hicho Kijitonyama mjini Dar es Salaam jana.
Hata hivyo, June alikataa kupigwa picha wala kuzungumza na waandishi wa habari waliokuwapo ofisini hapo.
Aliingia ofisini hapo saa 4 asubuhi ambapo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s72-c/1.jpg)
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA KWENYE KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KAWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-D6jzGhxpqTw/VgFSU7wmRFI/AAAAAAAAn6U/Tt1AlaI5QWY/s640/3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Jaji Msumi hajajifunza kwa Jaji Warioba?
BAADA ya kusikia matusi, kejeli na mipasho toka kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba dhidi ya Jaji Joseph Warioba, sasa macho na masikio tunaelekeza kwa Jaji mstaafu Hamis Msumi...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s72-c/1.jpg)
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wj5l-WSI6eA/VgFSUm3kmGI/AAAAAAAAn6Y/SduVxz1S-9c/s640/2.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania13 Aug
Mfadhili Chadema ajiunga ACT
MFADHILI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jimbo la Musoma Mjini, Dk. Eliud Tongola, amejiengua chama hicho na kujiunga na ACT-Wazalendo.
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na ACT –Wazalendo, chama hicho kimekiri Dk. Tongola kujiunga nacho.
Kwa takriban miaka minne alikuwa akilipia pango la ofisi za Chadema jimboni humo.
Dk. Tongola alisema kilichomtoa Chadema ni kuona viongozi wakiwa na wagombea wao mfukoni.
Alisema mchakato wa kuchukua...
10 years ago
GPLAFANDE SELE NAYE AJIUNGA RASMI NA ACT
10 years ago
Vijimambo17 Jul
MSANII MAARUFU WA FILAMU AJIUNGA NA ACT WAZALEND
![Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi kadi msanii maarufu wa filamu nchini, Mohamed Mwikongi jina la sanaa 'Frank' alipotambulishwa mara baada ya kujiunga na chama hicho.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0085.jpg)
![Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi aliyekuwa Mwenyekiti wa kitengo cha vijana Taifa wa NCCR Mageuzi, Deo Meck alipotangazwa kujiunga na chama hicho rasmi leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0047.jpg)
![Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi kadi na katiba msanii maarufu wa filamu nchini, Mohamed Mwikongi jina la sanaa 'Frank' alipotambulishwa mara baada ya kujiunga na chama hicho.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0080.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dR7VlBJbj-k/Vbe22VaktvI/AAAAAAAB3ZU/63aG-w-RXqA/s72-c/11816211_949736651758974_3107443785771653231_o.jpg)
Aliyekuwa mbunge wa viti maalum kwa tiketi ya CUF ajiunga na ACT wazalendo
![](http://3.bp.blogspot.com/-dR7VlBJbj-k/Vbe22VaktvI/AAAAAAAB3ZU/63aG-w-RXqA/s640/11816211_949736651758974_3107443785771653231_o.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Mtoto wa Wassira ajiunga CHADEMA
MAGAMBO Wassira ambaye ni mtoto wa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mahusiano na Utaratibu, Steven Wassira, amejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Akizungumza na Tanzania Daima jana,...
10 years ago
Michuzi17 Jul
MSANII MAARUFU WA FILAMU AJIUNGA NA ACT WAZALENDO, KALENDA YA UCHUKUAJI FOMU YA CHAMA HICHO YATANGAZWA
![Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi kadi msanii maarufu wa filamu nchini, Mohamed Mwikongi jina la sanaa 'Frank' alipotambulishwa mara baada ya kujiunga na chama hicho.](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/MDe-0VxaXixuKMVHYLnUl7-ojXfnGOOwkw9fxz0OdGSGHCcoC5yeDoijwOug7IBHbSdh3yB63PHrnM11TE6IThN9CTOBNRLvdF0uIgnr7bV9G71b5V0=s0-d-e1-ft#http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0085.jpg)
![Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi aliyekuwa Mwenyekiti wa kitengo cha vijana Taifa wa NCCR Mageuzi, Deo Meck alipotangazwa kujiunga na chama hicho rasmi leo jijini Dar es Salaam.](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/IHN1LFHDY-cen7TUS4BMPNI4qMJnBT58w_cGuBMlj9PKvFdv-QwJuBdiSj38fKJM8gT4DHFxrGlwpiQAKzSyET0Pt_-i4dxaWVDqy3swsyVtBGBWt9o=s0-d-e1-ft#http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0047.jpg)
![Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi kadi na katiba msanii maarufu wa filamu nchini, Mohamed Mwikongi jina la sanaa 'Frank' alipotambulishwa mara baada ya kujiunga na chama hicho.](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/RP4-so2s1aKUJXsH4QVim4D4IB_kazdQIEN34QxVJtL7RcQKyiFxOgmWEpX_eQOo_YB76UwHXGU6RDRuRRbOYpO0patz4_I82abddVw273afvdOJExo=s0-d-e1-ft#http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0080.jpg)