Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ruksa nyota watano wa kigeni

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara imeamua msimu ujao klabu zinazoshiriki ligi hiyo kusajili wachezaji watano wa kigeni badala ya wachezaji watatu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Vilabu ruksa kusajili 7 wa kigeni

vilabu kuruhusiwa kusajili wachezaji 7 wa kigeni kuanzia msimu ujao ujao wa ligi.

 

10 years ago

GPL

Mastaa watano Yanga ruksa Simba

Mchezaji wa Yanga, Haruna Niyonzima. Na Wilbert Molandi
WAPO sokoni! Hivi ndivyo utakavyoweza kutamka baada ya wachezaji watano wa Klabu ya Yanga kubakiza miezi sita au chini ya hapo kwenye mikataba yao na timu hiyo. Kila timu hivi sasa inaangalia nafasi ipi yenye upungufu inayohitaji kuboresha kwa kusajili wachezaji wenye uwezo kwenye usajili wa dirisha dogo linalofunguliwa Novemba 15 na kufungwa Desemba 15. Wachezaji hao...

 

10 years ago

Mwananchi

Uhamisho nyota wa kigeni wapeta

Simba, Yanga na Azam FC zitawatumia wachezaji wake wa kigeni kufuatia kukamilishwa kwa taratibu za kuwaombea wachezaji hao Hati za Uhamisho wa Kimataifa (ITC) ndani ya muda uliopangwa.

 

9 years ago

Habarileo

Maguri awatisha nyota wa kigeni

MSHAMBULIAJI Elias Maguri amezidi kuwawashia taa washambuliaji wa kigeni kwenye mbio za kuwania kiatu cha mfungaji bora baada ya juzi kuifungia mabao mawili timu yake.

 

9 years ago

Mwananchi

Nyota wa kigeni wakalia kuti kavu

Wakiwa wamebakiza miezi michache kwenye mikataba yao, baadhi ya wachezaji wa kigeni wanaocheza Ligi Kuu kuwapo kwao nchini,  kucheza soka ni bahati.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo yaliyoleta nyota wa kigeni nchini

Tangu kuanza kwa Ligi Kuu ya soka Tanzania mwaka 1965, katika miaka iliyokuwa na mafanikio, ni mwanzoni na mwishoni mwa miaka ya 1980.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyota watano waombewa ITC

WACHEZAJI watano wameombewa Hati ya Uhamisho ya Kimataifa (ITC) Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuwawezesha kucheza soka ya kulipwa nje ya Tanzania. Ofisa habari wa TFF, Boniface Wambura, aliwataja nyota...

 

9 years ago

Mwananchi

Nyota watano watemwa Taifa Stars

Kocha msaidizi wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Hemmed Morocco ametangaza kikosi cha wachezaji 24 watakaocheza na Malawi huku akiwaengua wachezaji watano waliokuwapo kwenye kikosi kilichoivaa Nigeria mwezi uliopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Vitenge vya nyota nyota vyatikisa

Licha ya kuwepo kwa matoleo ya aina mbalimbali za vitenge kwa mwaka huu vipo ambavyo vimeonekana kukubalika na kuvaliwa zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani