Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vilabu ruksa kusajili 7 wa kigeni

vilabu kuruhusiwa kusajili wachezaji 7 wa kigeni kuanzia msimu ujao ujao wa ligi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Klabu ruksa kusajili wageni saba

Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) limekubaliana na ombi la klabu za Ligi Kuu la kusajili wachezaji saba wa kigeni badala ya watano wa sasa.

 

11 years ago

Mwananchi

Ruksa nyota watano wa kigeni

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara imeamua msimu ujao klabu zinazoshiriki ligi hiyo kusajili wachezaji watano wa kigeni badala ya wachezaji watatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

UEFA:Matumizi ya vilabu kuangaziwa

Shirikisho la soka barani Ulaya linajiandaa kuondoa sheria ya mwaka 2011 itakayozuia vilabu kufanya matumizi ya ziada.

 

11 years ago

BBCSwahili

Adebayor aendelea kutokomeza vilabu

Emmanuel Adebayor aliifungia Tottenham bao na kuimarisha matumaini yao ya kucheza ligi ya klabu bingwa barani Ulaya

 

11 years ago

BBCSwahili

Kanisa na Vilabu vyakomeshwa DRC

Serikali ya mkoa wa Kinshasa imechukua hatua ya kupiga marufuku kelele za muziki, kutoka kwa watu wanaokesha usiku kucha kanisani, na pia wale wanaokesha kwenye vilabu vya burudani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam kusajili wapya

Klabu ya Azam ina mipango ya kusajili wachezaji kutoka nchi za Zambia, Ivory Coast na Rwanda.

 

9 years ago

Habarileo

Simba kusajili watano

KOCHA Mkuu wa Simba Dylan Kerr, amesema amependekeza kwa uongozi kusajili wachezaji watano wapya kwenye dirisha dogo la usajili kwa ajili ya kuimarisha kikosi chake ili kiweze kuhimili ushindani wa kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

9 years ago

Michuzi

CAF YAENDESHA SEMINA YA LESEINI ZA VILABU

MWENYEKITI wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Yahya Mohamed leo amefungua semina ya mafunzo ya leseni za vilabu katika ukumbi wa mikutano wa Dar es salaam International Conference Centre (DICC) uliopo jijini Dar es salaam.
Akiongea na waandishi wa habari wakati wa ufunguzi wa semina hiyo, Yahya amesema imekua jambo jema kwa CAF kutupatia nafasi ya mafunzo ya leseni za vilabu hapa nyumbani, kwani viongozi wa vilabu wote wanapata nafasi ya kushiriki semina hii ya siku mbili kutoka kwa...

 

9 years ago

Michuzi

TFF YAVITAKA VILABU KUHESHIMU TARATIBU

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limevitaka vilabu vyote nchini vya Ligi Kuu (Vodacom), Ligi Daraja la Kwanza (StarTimes), na Ligi Daraja la Pili (SDL) kuheshimu utaratibu uliowekwa wa usajili na utekelezaji wake, kwani TFF haitapendelea klabu yoyote katika suala hilo.
TFF inachukua fursa hii kuwakumbusha viongozi wote wa vilabu kuhusu kalenda ya mwaka ya usajili ambayo ina vipindi viwili,
(i)  Dirisha Kubwa la Usajili  (Juni 15 – Agosti 20)
(ii)  Dirisha Dogo la Usajili (Novemba 15 –...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani