Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Adebayor aendelea kutokomeza vilabu

Emmanuel Adebayor aliifungia Tottenham bao na kuimarisha matumaini yao ya kucheza ligi ya klabu bingwa barani Ulaya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Adebayor aendelea kung'aa Tottenham

Tottenham imeilaza Newcastle magoli 4-0 na kuimarisha nafasi yake ya kucheza ligi ya ulaya mwaka ujao

 

10 years ago

GPL

SAKATA LA ADEBAYOR NA FAMILIA YAKE: ADEBAYOR KUMWAGA 'UBUYU' MWINGINE WA MDOGO WAKE ROTIMI

Adebayor ametupia picha hii Facebook na kuahidi kutoa sehemu ya 2 ya stori ya kaka yake Rotimi. SAKATA la straika wa Klabu ya Tottenham ya nchini Uingereza, Emmanuel Adebayor na familia yake limechukua sura mpya ambapo staa huyo ameahidi kutoa sehemu ya pili ya stori 'ubuyu' mwingine kuhusu kaka yake mwingine aitwaye Rotimi Adebayor muda muafaka ukifika. Adebayor ameahidi kutoa ubuyu huo ikiwa ni siku chache tangu aachie waraka...

 

10 years ago

BBCSwahili

UEFA:Matumizi ya vilabu kuangaziwa

Shirikisho la soka barani Ulaya linajiandaa kuondoa sheria ya mwaka 2011 itakayozuia vilabu kufanya matumizi ya ziada.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kanisa na Vilabu vyakomeshwa DRC

Serikali ya mkoa wa Kinshasa imechukua hatua ya kupiga marufuku kelele za muziki, kutoka kwa watu wanaokesha usiku kucha kanisani, na pia wale wanaokesha kwenye vilabu vya burudani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vilabu ruksa kusajili 7 wa kigeni

vilabu kuruhusiwa kusajili wachezaji 7 wa kigeni kuanzia msimu ujao ujao wa ligi.

 

9 years ago

Michuzi

TFF YAVITAKA VILABU KUHESHIMU TARATIBU

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limevitaka vilabu vyote nchini vya Ligi Kuu (Vodacom), Ligi Daraja la Kwanza (StarTimes), na Ligi Daraja la Pili (SDL) kuheshimu utaratibu uliowekwa wa usajili na utekelezaji wake, kwani TFF haitapendelea klabu yoyote katika suala hilo.
TFF inachukua fursa hii kuwakumbusha viongozi wote wa vilabu kuhusu kalenda ya mwaka ya usajili ambayo ina vipindi viwili,
(i)  Dirisha Kubwa la Usajili  (Juni 15 – Agosti 20)
(ii)  Dirisha Dogo la Usajili (Novemba 15 –...

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya Vilabu Afrika yapamba moto

Mashindano ya Kombe la Shirikisho na Klabu Bingwa barani Afrika ilianza kutimua vumbi mwishoni mwa wiki iliyopita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Je Waingereza waogopa vilabu vya nje?

'Waingereza waogopa kuchezea vilabu vya nje'- Ashley Cole

 

10 years ago

BBCSwahili

Vilabu vya Manchester vyawika EPL

Sergio Aguero alifunga bao lake la kwanza tangu mwezi Disemba na kuisadia Manchester City kuimarisha harakati zake za ligi ya Epl

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani