Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vilabu vya Manchester vyawika EPL

Sergio Aguero alifunga bao lake la kwanza tangu mwezi Disemba na kuisadia Manchester City kuimarisha harakati zake za ligi ya Epl

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Manchester City warejea kileleni EPL

Manchester City wamerejea kileleni Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kupata ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea City.

 

11 years ago

Michuzi

MEGATRADE YAVIPIGA JEKI VILABU VYA POLISI KILIMANJARO NA MACHAVA FC VYA MJINI MOSHI

Meneja masoko wa kampuni ya Megatrade (T) Ltd,Goodluck Kway akimkabidhi mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama Mpira ikiwa ni sehemu ya msaada kwa timu ya soka ya Machava fc inayoshiriki ligi daraja la tatu ngazi ya mkoa wa Kilimanjaro.shoto kwake ni Meneja mauzo wa Kampuni ya Megatrade(T)Ltd kanda ya kaskazini Edimund Lutaraka. Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama akimkabidhi jezi nahodha wa timu ya Machava ,Dickson Muganda.Jezi hizo zenye thamani ya kiasi cha sh Milioni 3...

 

11 years ago

BBCSwahili

Je Waingereza waogopa vilabu vya nje?

'Waingereza waogopa kuchezea vilabu vya nje'- Ashley Cole

 

10 years ago

BBCSwahili

Vilabu vya Ulaya na Tetesi za usajili .

Timu ya Manchester United iko tayari kutoa paundi milioni 120 kwaajili ya kumsajili winga Gareth Balle

 

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA USHAURI SUMATRA LAZINDUA VILABU VYA WANAFUNZI

 Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la watumiaji wa Huduma za Usafiri wa nchi Kavu na Majini (SUMATRA CCC), Ayoob Omary akizindua vilabu vya wanafunzi vya Sumatra. Kushoto ni Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Oscar Kikoyo na kulia ni Mnadhimu Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Johansen Kahatan. Katibu Mtendaji wa Baraza la Ushauri la watumiaji wa Huduma za Usafiri wa nchi Kavu na Majini (SUMATRA CCC), Oscar Kikoyo akizungumza wakati wa uzinduzi huo. Mnadhimu Mkuu...

 

9 years ago

Mtanzania

Manchester City kujiuliza kwa Swansea City EPL

Manchester-City-v-Bayern-MunichLONDON, UINGEREZA

HII inaweza kuwa nafasi nyingine kwa klabu ya Manchester City ya kuongoza Ligi Kuu England kwa tofauti ya mabao ikiwa itaweza kuifunga mabao zaidi ya mawili klabu ya Swansea City.

Hatua hiyo inakuja baada ya kuonekana endapo itafanikiwa kupata alama tatu katika mechi hiyo itafungana kwa alama 32 dhidi ya kinara wa ligi hiyo, Leicester City, hivyo itazilazimu klabu hizo kutofautiana kwa mabao ya kufunga.

Hata hivyo, endapo Manchester City itafanikiwa kupata matokeo mazuri...

 

9 years ago

BBCSwahili

EPL MOJA KWA MOJA: DEBI YA MANCHESTER

Leo klabu mbili kutoka Manchester, Manchester United na Manchester City zinakutana uwanjani Old Trafford kwenye Ligi Kuu ya Uingereza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani