Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CAF YAENDESHA SEMINA YA LESEINI ZA VILABU

MWENYEKITI wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Yahya Mohamed leo amefungua semina ya mafunzo ya leseni za vilabu katika ukumbi wa mikutano wa Dar es salaam International Conference Centre (DICC) uliopo jijini Dar es salaam.
Akiongea na waandishi wa habari wakati wa ufunguzi wa semina hiyo, Yahya amesema imekua jambo jema kwa CAF kutupatia nafasi ya mafunzo ya leseni za vilabu hapa nyumbani, kwani viongozi wa vilabu wote wanapata nafasi ya kushiriki semina hii ya siku mbili kutoka kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

NSSF yaendesha semina kwa waajiri, wanachama

NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu, amewataka waajiri na wanachama wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kujadili changamoto zinazokabili shirika hilo na...

 

10 years ago

Vijimambo

TPB yaendesha semina kwa wajasiriamali mkoani Mbeya

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini, Profesa Norman Sigallah (aliyesimama) akizungumza akifungua semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya. Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini, Profesa Norman Sigallah (aliyesimama) akizungumza akifungua semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya.Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini, Profesa Norman Sigallah akizungumza akifungua semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya. Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini, Profesa Norman Sigallah akizungumza akifungua semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya.Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta, Sabasaba Moshingi akizungumza katika semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta, Sabasaba Moshingi akizungumza katika semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini MbeyaBaadhi ya wajasiriamali wakiwa katika semina hiyo iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya. Baadhi ya...

 

11 years ago

GPL

ANGELS MOMENT YAENDESHA SEMINA YA UJASIRIMALI DAR LIVE

Sehemu ya wanasemina waliohudhuria. Wasanii wa THT wakinogesha mambo. Bi Aisha Bilal akisoma…

 

10 years ago

GPL

TPB YAENDESHA SEMINA KWA WAJASIRIAMALI MKOANI MBEYA‏

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini, Profesa Norman Sigallah (aliyesimama) akizungumza akifungua semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya. Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini, Profesa Norman Sigallah akizungumza akifungua semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta, Sabasaba Moshingi akizungumza katika semina kwa ajasiriamali...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

ZEC/UNDP yaendesha Semina kwa asasi za kiraia kuhusu uchaguzi

Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar akifunga semina ya asasi za kiraia Friday, October 9, 2015 Asasi za kiraia nchini zimeshauriwa kuchukua jitihada binafsi kutoa elimu ya uraia na elimu ya wapiga kura kwa jamii […]

The post ZEC/UNDP yaendesha Semina kwa asasi za kiraia kuhusu uchaguzi appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Vijimambo

TCRA YAENDESHA SEMINA KWA BLOGGERS KUHUSIANA NA SHERIA ZA UCHAGUZI NCHINI

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Prof John Nkoma akijibu maswali ya wanablog wakati wa Mkutano na bloggers juu ya kuelimishwa juu ya sheria za uchaguziMkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Prof John Nkoma akizungumza na wamiliki wa mitandao ya kijamii (Blogs) wakati wa warsha kwa bloggers ambao umefanyika katika ukumbi wa Mlimani City, Jijini Dar Es Salaam.Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Maelezo, Bw Assah Mwambene akichangia mada wakati wa mkutano...

 

11 years ago

GPL

KAMPUNI YA CHINA WORLD BUZ YAENDESHA SEMINA KWA WAFANYABIASHARA JIJINI ARUSHA

Shafii Mwaijande Ofisa Mtendaji Mkuu wa China Word Buz kwa upande wa Tanzania akizungumza na wafanya biashara wadogo na wakati kwenye ukumbi wa Triple A jijini Arusha wakati wa Semina kwa wafanya biashara hao iliyofanyika siku ya jana, kuhusu mfumo utakaosaidia wafanyabiashara wadogo wa Tanzania kutafuta masoko ya bidhaa nchini China na kuwapa taarifa sahihi za masoko kwa msaada wa kampuni hiyo,Mfumo huo hautampa gharama kubwa...

 

10 years ago

Michuzi

EWURA YAENDESHA SEMINA KWA WAFANYABIASHARA WA MAFUTA MIKOA YA RUKWA NA KATAVI MJINI SUMBAWANGA

Meneja Ufundi Idara ya Petroli EWURA Ndugu Gerald Maganga akiwasilisha moja ya mada katika Semina kwa Wafanyabiashara wa Mafuta Mikoa ya Rukwa na Katavi katika ukumbi wa Moravian Centre Mjini Sumbawanga tarehe 15 April 2015. Kushoto ni Afisa Uhusiano EWURA Ndugu Wilfred Edwin. Miongoni mwa mada zilizowasilishwa katika Semina hiyo ni Udhibiti na Kanuni za Ukokotoaji wa bei za Mafuta, Ubora wa Miundimbinu, Usalama na Utunzaji wa Mazingira katika Sekta ya Mafuta ya Petroli, Faida za kutumia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani