Wachezaji wa kigeni wabanwa
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema mchezaji yeyote wa kigeni ambaye hatalipiwa Dola za Marekani 2000 (takriban Sh milioni 4.2) hatacheza kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara itakayoanza kutimua vumbi Jumamosi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo16 Dec
UTITILI WA WACHEZAJI WA KIGENI KUTAICHIMBIA KABURI SOKA YA TANZANIA NA KUUWA TIMU YA TAIFA KAMA ILIVYO UINGEREZA
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2556928/highRes/898778/-/maxw/600/-/1almpuz/-/seru.jpg)
Simon Sserunkuma By GIFT MACHA Wa Mwanaspoti.Mshambuliaji huyo raia wa Uganda alikuja nchini na timu ya Express ya nchini humo na kucheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya Simba na Yanga na ndipo viongozi hao wa Yanga walipomwona na kumleta nchini ili kufanya naye mazungumzo lakini mambo yakawa tofauti kwani alitoroshwa kimya kimya na kupelekwa Zanzibar ambako Simba iliweka kambi kujiandaa na mechi ya Nani Mtani Jembe iliyochezwa juzi Jumamosi.ACHANA na Yanga kufungwa mabao 2-0 na Simba...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-et2uJEgzmVU/XkzN_lBg7kI/AAAAAAALeNM/3sXsBrWAa68604nCRB038A5ZvXieU-0hQCLcBGAsYHQ/s72-c/737637be12c25dbefdbd7da9f3ff81ec.jpg)
Uamuzi wa kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni TPL uangaliwe kwa mapana zaidi kabla ya hatua hiyo kuchukuliwa
![](https://1.bp.blogspot.com/-et2uJEgzmVU/XkzN_lBg7kI/AAAAAAALeNM/3sXsBrWAa68604nCRB038A5ZvXieU-0hQCLcBGAsYHQ/s640/737637be12c25dbefdbd7da9f3ff81ec.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-L20P9priZ-E/XkzN_u0qfYI/AAAAAAALeNE/sj5RUD1VPGElAo3vLmEuxQAvqWPmAkmgwCLcBGAsYHQ/s640/_70607978_ivorians_.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_3tQEYqLbFg/XkzN_tYVs5I/AAAAAAALeNI/WO9NBKPlcPsiZfjEdlYRLMwqmK-AB9WmgCLcBGAsYHQ/s640/Yangapic.jpg)
Na Mdau wa Soka Arusha
Hatua hii itakuwa siyo ya kujenga bali ni kubomoa soka letu. Kiuhalisia kwa sasa ni timu 3 zenye uwezo wa kusajili wachezaji 10 wa kigeni; Simba, Yanga na Azam.
Usajili kwa sasa unaruhusu kila timu ya TPL kusajili wachezaji mpaka 30 kwa msimu.Kwa mahesabu hayo jumla ya namba ya wachezaji wanaosajiliwa na timu 20 za ligi kuu ni 600(30 x20).
Chukulia mfano timu 3 kubwa zimesajili wachezaji 10 wa kigeni kila moja ukijumlisha unapata wachezaji 30.
Chukulia pia mfano timu 17...
9 years ago
MillardAyo30 Dec
TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa …
Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015. Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu. David De […]
The post TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa … appeared first on...
9 years ago
Habarileo30 Dec
Mafunzo wabanwa na KMKM
TIMU za Maafande wa Chuo cha Mafunzo na wa Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM ), zimetoka sare ya kufungana bao 1-1 katika mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar kanda ya Unguja uliochezwa Uwanja wa Amani mjini hapa.
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Mawaziri wabanwa bungeni
10 years ago
Habarileo05 Mar
Wauzaji dawa za asili wabanwa
SERIKALI imesisitiza kuwa dawa zote za tiba asilia ama za kisasa, zinatakiwa kufuata taratibu zote za kuziingiza hapa nchini, tofauti na hapo ni uvunjaji wa sheria.
10 years ago
Habarileo11 Feb
Wenyeviti mitaa Kinondoni wabanwa
WENYEVITI wa Serikali za Mitaa katika Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam wametakiwa kuwasimamia watendaji wao kutekeleza miradi ya kijamii ili kuharakisha hali bora za maisha kwa wananchi wao.
11 years ago
Habarileo05 Mar
Waandishi wabanwa kesi ya Wachina
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imetoa amri kwa vyombo vya habari, kutoandika majina ya mashahidi katika kesi ya kukutwa na meno ya tembo yenye thamani ya Sh bilion 5.4, inayowakabili raia watatu wa China.