UTITILI WA WACHEZAJI WA KIGENI KUTAICHIMBIA KABURI SOKA YA TANZANIA NA KUUWA TIMU YA TAIFA KAMA ILIVYO UINGEREZA
Simon Sserunkuma By GIFT MACHA Wa Mwanaspoti.Mshambuliaji huyo raia wa Uganda alikuja nchini na timu ya Express ya nchini humo na kucheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya Simba na Yanga na ndipo viongozi hao wa Yanga walipomwona na kumleta nchini ili kufanya naye mazungumzo lakini mambo yakawa tofauti kwani alitoroshwa kimya kimya na kupelekwa Zanzibar ambako Simba iliweka kambi kujiandaa na mechi ya Nani Mtani Jembe iliyochezwa juzi Jumamosi.ACHANA na Yanga kufungwa mabao 2-0 na Simba...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com
ORODHA YA WACHEZAJI WALIOTEMWA NA TIMU ZAO LIGI YA UINGEREZA

Mchezaji wa Manchester United, Tom Cleverley ni miongoni mwa majina makubwa yaliyotangazwa kuachwa katika orodha ya ligi kuu England.Kwa taratibu za ligi kuu England, msimu ukishamalizika, timu zinatakiwa kuwasilisha majina ya wachezaji itakaowatema kuelekea msimu mpya.Baada ya kumalizika kwa msimu wa 2014/2015, wachezaji waliotangazwa kuachwa na baadhi ya timu za England hawa hapa;
PREMIER LEAGUE RELEASED LIST FOR 2014-15
ArsenalAbou Diaby, Jack Jebb, Oluwasemilogo Adesewo Ajayi,Austin...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Uongozi na wachezaji wa Timu ya Soka ya African Coast wamuomba radhi Balozi Seif Ali Idd
Wachezaji hao waliomba radhi hiyo Mbele ya Mbunge huyo hapo katika Ukumbi wa Tawi la CCM la Kijiji cha Upenja kilichomo ndani ya Jimbo la Kitope Wilaya ya Kaskazini “B “ mkutano uliohudhuriwa pia na Wazee na baadhi ya...
11 years ago
GPL
WACHEZAJI WALIOITWA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND KOMBE LA DUNIA
11 years ago
GPLMAJINA YA WACHEZAJI WALIO CHANGULIWA KUBORESHA TIMU YA TAIFA YATAJWA
9 years ago
StarTV23 Nov
Wachezaji wa zamani wa timu za Taifa Bara na Z’bar kucheza mchezo maalum. Â
Wachezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars na wachezaji wa zamani wa timu ya Zanzibar Heroes watacheza mechi ya kirafiki December 09 mwaka huu kwa Lengo la kuhamasisha amani katika visiwani Zanzibar.
Mechi hiyo itapigwa katika Uwanja wa Amani ambapo pande zinazotofautiana kisiasa zitaalikwa ili kuzungumza na wanachama kuwa watulivu kipindi hiki ambapo suluhu inatafutwa.
Wakati huohuo michuano ya kuwania kombe la Challenge inaendelea huko nchini Ethiopia,timu ya Kilimnajaro...
10 years ago
Michuzi.jpg)
UZINDUZI WA USHIRIKIANO KATI YA BODI YA UTALII TANZANIA NA TIMU YA SUNDERLAND YA NCHINI UINGEREZA WAKATI WA MECHI YAO NA TIMU YA CHELSEA
.jpg)
10 years ago
Vijimambo07 Nov
ALBION SAIDO BERAHINO AITWA TIMU YA TAIFA UINGEREZA

Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 21 anatarajiwa kuonekana kwenye orodha ya majina ya timu ya England katika mechi ya kimataifa ya kuwania kufuzu fainali za Euro mwaka 2016 kati England Slovenia mechi itakayopigwa Novemba 15 mwaka huu.
Berahino ambaye alizaliwa nchini Burundi tayari ameshatia wavuni magoli saba katika mechi 10 za ligi kuu ya England ambayo timu yake West...
10 years ago
Dewji Blog04 Apr
Gwiji la soka la timu ya taifa ya Uholanzi na vilabu vya Ajax na Barcelona awasili ncjhini na kuelekea Serengeti
Mratibu wa ziara ya wachezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona nchini ,Royco Garcia ,(kulia) akiwa na mdau wa soka wa mkoa wa Kilimanjaro na Mwenyekiti wa chama cha soka wilaya ya Hai,Harold Kifunda wakati wa mapokezi ya gwiji wa soka wa timu ya taifa ya Uholanzi na vilabu vya Ajax na Barcelona.