Mawaziri wabanwa bungeni
Wabunge jana waliwaweka kitimoto mawaziri wanne wakiwataka watoe maelezo ya kukwama kwa baadhi ya mambo katika wizara zao na kusababisha matatizo kwa wananchi na Serikali kukosa fedha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo03 May
Mbowe kupangua 'mawaziri’ bungeni
KIONGOZI wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amesema anatarajia kuvunja na kuunda upya Baraza la Mawaziri Vivuli, litakaloshirikisha viongozi wengine wa vyama vya upinzani, wanaounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Mawaziri ‘mizigo’ wazidi kukabwa koo bungeni Dodoma
9 years ago
Habarileo30 Dec
Mafunzo wabanwa na KMKM
TIMU za Maafande wa Chuo cha Mafunzo na wa Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM ), zimetoka sare ya kufungana bao 1-1 katika mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar kanda ya Unguja uliochezwa Uwanja wa Amani mjini hapa.
9 years ago
Habarileo09 Sep
Wachezaji wa kigeni wabanwa
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema mchezaji yeyote wa kigeni ambaye hatalipiwa Dola za Marekani 2000 (takriban Sh milioni 4.2) hatacheza kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara itakayoanza kutimua vumbi Jumamosi.
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Ugaidi: Wakimbizi Syria wabanwa
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Wafanyabiashara wabanwa walipe kodi
10 years ago
Habarileo11 Feb
Wenyeviti mitaa Kinondoni wabanwa
WENYEVITI wa Serikali za Mitaa katika Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam wametakiwa kuwasimamia watendaji wao kutekeleza miradi ya kijamii ili kuharakisha hali bora za maisha kwa wananchi wao.
10 years ago
Habarileo05 Mar
Wauzaji dawa za asili wabanwa
SERIKALI imesisitiza kuwa dawa zote za tiba asilia ama za kisasa, zinatakiwa kufuata taratibu zote za kuziingiza hapa nchini, tofauti na hapo ni uvunjaji wa sheria.
10 years ago
Mtanzania21 May
Waliokutwa na meno ya tembo wabanwa
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WATUHUMIWA sita waliokamatwa na kontena la meno ya tembo yenye thamani zaidi ya Sh bilioni saba visiwani Zanzibar, wamesomewa mashtaka matatu mapya ya uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Washtakiwa walisomewa mashtaka hayo jana na Wakili wa Serikali, Faraja Nchimbi, mbele ya Hakimu Mkazi, Shahidi Huruma.
Nchimbi aliwataja washtakiwa hao kuwa ni Mohammed Mussa (45), Mohammed Hajji Udole (42), Juma Makoma (43), Mohamed Hija au Mashaka, Omary Ally...