Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha wa kigeni kuendelea kulipwa

Serikali imeweka wazi kuwa itaendelea kumlipa mshahara kocha wa kigeni atakayeingia mkataba na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ajili ya kuinoa timu ya taifa ‘Taifa Stars’.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Southgate kuendelea kuwa kocha England

kocha wa timu ya vijana ya England chini ya miaka 21 Gareth Southgate amesema anataka kuendelea kuwa kocha wa kikosi hicho.

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA LIQUID TELECOM'S KUENDELEA KUZIUNGANISHA KIDIGITAL NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA ILI KUENDELEA NA SHUGHULI ZAO

 Na Said Mwishehe,Michuzi TV

KAMPUNI ya Liquid Telecom's Afrika Mashariki imezihakikishia nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuendelea kufanya kazi zake kwa ukaribu na kawaida kupitia mgongo wake wa jumuiya ya nchi hizo katika mabadiliko yake ya kidigitali chini ya mwezi wa mmoja kutokana na janga la COVID- 19

Kwa mujibu wa kampuni imeeleza kuwa ndiyo inayoongoza katika mawasiliano na imewezesha wanachama wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kufanya kazi kwa ukaribu na kawaida licha ya...

 

10 years ago

Vijimambo

KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE

Kocha simba akimpa mkono kocha wa YangaHans ameshindwa kupeana mkono wa pongezi na kocha mwenzake kutokana na kikosi chake kukubali kupokea kichapo kutoka kwa wekundu wa msimbazi lakini katika hali ya kawaida mchezo ukimalizika makocha upeana mkono kama ishara ya kukubali matokeo (fair play) na kocha msaidizi wa yanga Boniface Mkwasa ametoa mkono huku akiwa ameangalia pembeni.Goran akimwambia basi samahani kwa kukufunga wewe nipe mkono tuBaada ya mchezo kocha aliwashukuru wachezaji wake kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Waliostaafishwa Tazara kulipwa

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeiamuru Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) kuwalipa fidia wafanyakazi wake wa zamani 271 kutokana na kuwastaafisha kwa lazima.

 

10 years ago

Habarileo

TAZARA washukuru kulipwa

WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wameshukuru kulipwa mishahara yao ya miezi minne, lakini wametoa siku saba kwa mamlaka hiyo kuwalipa mishahara yao iliyobaki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waombolezaji wa Kulipwa Kenya

Kila Alhamisi na Ijumaa,waombolezaji mjini Kisumu, Kenya, huzuzua uma wa mbinu zao za kuwaaga wapendwa wao

 

10 years ago

GPL

SIMBA KULIPWA MAMILIONI

Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) limeiagiza Etoile du Sahel kulipa kitita cha dola 300,000 (zaidi ya milioni 500) pamoja na faini. Fifa imeitaka klabu hiyo ya Sousse nchini Tunisia kuhakikisha inalipa fedha hizo ndani ya mwezi mmoja pamoja na faini ya dola 28,000. Hatua hiyo imefikia baada ya Simba kushinda kesi iliyotokana na Simba kushitaki kwa Fifa baada ya Etoile kushindwa kulipa fedha za malipo ya kumnunua Emmanuel Okwi...

 

9 years ago

Habarileo

Simba haibabaishwi na wa kulipwa

MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope ametamba kwamba ababaishwi na wachezaji kutoka nje wanaosajiliwa na wapinzani wao Yanga kwani ni kawaida yao kufanya hivyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Ngula kulipwa mamilioni

Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania, (Tucta) limetakiwa kumlipa Sh78 milioni aliyekuwa Katibu wa shirikisho hilo , Nestory Ngula, baada ya kuwashinda katika rufaa waliyoikata dhidi yake mwaka jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani