Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAZARA washukuru kulipwa

WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wameshukuru kulipwa mishahara yao ya miezi minne, lakini wametoa siku saba kwa mamlaka hiyo kuwalipa mishahara yao iliyobaki.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Waliostaafishwa Tazara kulipwa

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeiamuru Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) kuwalipa fidia wafanyakazi wake wa zamani 271 kutokana na kuwastaafisha kwa lazima.

 

9 years ago

Mwananchi

Maaskofu washukuru Mama Samia kukubali wito

Dar es Salaam. Maaskofu wa madhehebu mbalimbali wa makanisa Tanzania wamempongeza Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan kukubali kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la Krismasi linalotarajiwa kufanyika Desemba 25 kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mkalama washukuru serikali kwa kasi ya kuwaletea umeme

DSC00871

Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Edward Ole Lenga.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Mkalama

SERIKALI  wilaya mpya ya Mkalama mkoani Singida, imeishukuru serikali kuu kwa hatua yake ya kuipatia huduma ya nishati ya umeme kwa kipindi kifupi mno.

Shukrani hizo zimetolewa na mkuu wa wilaya hiyo, Edward Ole Lenga wakati akizungumza na Mwakilishi wa MOBlog, juu ya maendeleo ya usambazaji wa huduma hiyo ya umeme kupitia matokeo makubwa sasa (BRN)katika vijiji mbalimbali vya...

 

9 years ago

Dewji Blog

UN, Serikali washukuru wakazi wa Singida kujimilikisha miradi ya maendeleo

IMG_4100

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akisalimiana na mmoja wa watendaji wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida mara tu alipowasili kijiji cha Puma kukagua mradi wa ufugaji kuku wa kusaidia watu wanaoishi na VVU unaofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) kupitia TACAIDS. Wa pili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Parseko Kone.

Na Modewjiblog team, Singida

MRATIBU Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wagombea Zanzibar washukuru maandalizi mazuri tume ya uchaguzi NEC na ZEC

unnamed (68)

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae ni mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akifanya mahojiano na waandishi wa habari baada ya kipiga kura leo katika kituo cha Skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya kati Mkoa wa Kusini Unguja.

Na Mwandishi wetu, Pemba

MAMIA ya wananchi wa visiwa vya Zanzibar wamejitokeza kwa wingi katika zoezi la upigaji wa kura kwa nafasi tano za Urais wa jamhuri wa muungano, Urais wa Zanzibar, Ubunge,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waombolezaji wa Kulipwa Kenya

Kila Alhamisi na Ijumaa,waombolezaji mjini Kisumu, Kenya, huzuzua uma wa mbinu zao za kuwaaga wapendwa wao

 

10 years ago

Mwananchi

Ngula kulipwa mamilioni

Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania, (Tucta) limetakiwa kumlipa Sh78 milioni aliyekuwa Katibu wa shirikisho hilo , Nestory Ngula, baada ya kuwashinda katika rufaa waliyoikata dhidi yake mwaka jana.

 

9 years ago

Habarileo

Simba haibabaishwi na wa kulipwa

MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope ametamba kwamba ababaishwi na wachezaji kutoka nje wanaosajiliwa na wapinzani wao Yanga kwani ni kawaida yao kufanya hivyo.

 

10 years ago

GPL

SIMBA KULIPWA MAMILIONI

Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) limeiagiza Etoile du Sahel kulipa kitita cha dola 300,000 (zaidi ya milioni 500) pamoja na faini. Fifa imeitaka klabu hiyo ya Sousse nchini Tunisia kuhakikisha inalipa fedha hizo ndani ya mwezi mmoja pamoja na faini ya dola 28,000. Hatua hiyo imefikia baada ya Simba kushinda kesi iliyotokana na Simba kushitaki kwa Fifa baada ya Etoile kushindwa kulipa fedha za malipo ya kumnunua Emmanuel Okwi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani