Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN:Wanoafadhil wapiganaji mashakani

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kwa pamoja limeamua kuwawekea vikwazo watu wanaowafadhili wapiganaji.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wakeketaji mashakani Uganda

Watu watano wakiwemo wanawake na wanaume wamekamatwa na polisi nchini Uganda kutokana na kuwakeketa wasichana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Majaji 34 Ghana mashakani

Jaji mkuu wa Ghana amehutubia nchi kuhusu kashfa kubwa ya rushwa dhidi ya majaji

 

10 years ago

Mwananchi

Vijana wako mashakani

Inasononesha! Vijana wetu hasa hawa wanaojiita ‘Mastaa’ au wengine wakipenda kujiita kwa kizungu kuwa ni ‘celebrities’ wamezuka na lipi jipya kwa kuitangaza nchi yetu huko duniani? Na je! Taifa linaelekea wapi na kwa minajili gani hasa?

 

10 years ago

BBCSwahili

Dawa za kulevya:Nelly mashakani

Mshindi wa tuzo ya Grammy mwanamuziki Cornell Haynes ama kwa jina maarufu Nelly amekamatwa na shtaka la mihadarati .

 

10 years ago

BBCSwahili

Mzaha wamtia mashakani mwanasayansi

Mwanasayansi wa Uingereza Sir Tim Hunt amejiuzulu baada ya kutoa tamko la mzaha kuhusu wanawake.Mshindi huyo wa taji la Nobel alisema kuwa wanawake huwapenda wanaume wanaofanya kazi nao kwa urahisi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanariadha wanaotumia dawa mashakani

Wanariadha watakaopatikana wametumia dawa za kusisimua misuli watapigwa marufuku ya miaka minne

 

10 years ago

BBCSwahili

Maaskofu wanyanyasaji sasa mashakani

Papa Francis ameidhinisha kuundwa kwa idara mpya itakayokuwa na mamlaka ya kuwawajibisha maaskofu wa kanisa katoliki wanaotuhumiwa kuwanyanyasa watoto kingono .

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaowaficha wagonjwa wa Ebola mashakani

Bunge la Sierra Leone limepitisha sheria inayotoa hukumu ya miaka miwili jela kwa mtu atakayemficha mgonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tamko la Facebook lamtia mashakani

Raia mmoja wa Marekani anayefanya kazi katika milki za kiarabu amekamatwa kwa matamshi aliyochapisha katika mtandao wa facebook

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani