Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majaji 34 Ghana mashakani

Jaji mkuu wa Ghana amehutubia nchi kuhusu kashfa kubwa ya rushwa dhidi ya majaji

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Ufisadi:Majaji 7 wasimamishwa kazi Ghana

Majaji saba wa mahakama ya juu nchi Ghana kati ya 12 wamesimamishwa kazi kwa mda kufuatia madai ya kuhusika katika ufisadi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Majaji 34 Ghana kuhojiwa kwa kula rushwa

Uchunguzi uliofanywa na mwandishi habari za uchunguzi , Anas Aremeyaw Anas uliomchukua miaka miwili umegundua kuwa majaji pamoja na viongozi wa juu wa mahakama nchini humo wanakula rushwa .

 

10 years ago

Vijimambo

GHANA 3-0 EQUATORIAL GUINEA AFCON 2015 GHANA KUCHEZA NA IVORY COAST FINAL JUMAPILI.

 wachezaji wa Ghana  wakishangilia ushindi na kutinga fainali baada ya kuwakunja wenyewe Equatorial Guinea 3-0  kwaiyo sasa  Ghana kukutana na Ivory Coast tarehe 8 kwenye fainali. Baada ya kipenga cha mwisho wenyewe wa mashindano hayo ya AFCON walikuwa wamekubali kipigo cha magoli matatu ndipo washabiki walivyoanzisha timbwili hili uwanjani hapo.Hali ilionekana siyo shwari toka kipindi cha kwanza pale Ghana walivyo pewa penati ya mapema hii hapa ilikuwa baada ya dk 45 za kwanza washabiki...

 

10 years ago

Mwananchi

Vijana wako mashakani

Inasononesha! Vijana wetu hasa hawa wanaojiita ‘Mastaa’ au wengine wakipenda kujiita kwa kizungu kuwa ni ‘celebrities’ wamezuka na lipi jipya kwa kuitangaza nchi yetu huko duniani? Na je! Taifa linaelekea wapi na kwa minajili gani hasa?

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakeketaji mashakani Uganda

Watu watano wakiwemo wanawake na wanaume wamekamatwa na polisi nchini Uganda kutokana na kuwakeketa wasichana.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:Wanoafadhil wapiganaji mashakani

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kwa pamoja limeamua kuwawekea vikwazo watu wanaowafadhili wapiganaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Dawa za kulevya:Nelly mashakani

Mshindi wa tuzo ya Grammy mwanamuziki Cornell Haynes ama kwa jina maarufu Nelly amekamatwa na shtaka la mihadarati .

 

10 years ago

BBCSwahili

'Busu' lamtia mashakani Obama

Barack Obama, ametoa kauli yake kuhusu mwanamume aliyeshikwa na wivu baada ya kumbusu mpenzi wake kwenye mashavu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 3000 mashakani Mediterranea

Utaliano unaongoza shughuli za kuwaokoa wahamiaji kama 3,000 hivi ambao wametuma ishara ya kuwa taabani nje ya pwani ya Libya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani