Majaji 34 Ghana kuhojiwa kwa kula rushwa
Uchunguzi uliofanywa na mwandishi habari za uchunguzi , Anas Aremeyaw Anas uliomchukua miaka miwili umegundua kuwa majaji pamoja na viongozi wa juu wa mahakama nchini humo wanakula rushwa .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NWMTNrc8DU4/XsZ5mpJZ3gI/AAAAAAALrHw/nJn_TdsFDFQBv44PkpVJ8IM7OiIr09ZfACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-21%2Bat%2B3.47.14%2BPM.jpeg)
DIWANI KATA YA KIJICHI KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA KULA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NWMTNrc8DU4/XsZ5mpJZ3gI/AAAAAAALrHw/nJn_TdsFDFQBv44PkpVJ8IM7OiIr09ZfACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-21%2Bat%2B3.47.14%2BPM.jpeg)
DIWANI wa Kata ya Kijichi halmashauri ya Manispaa wa Temeke kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Elias Mtarawanje (29), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke akikabiliwa na mashtaka mawili likiwamo la kupokea rushwa ya Sh. Milioni moja kutoka kwa Yusuf Omary.
Diwani huyo amefikishwa mahakamani...
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Mahakimu 20 wafutwa Ghana kwa sababu ya rushwa
9 years ago
BBCSwahili15 Sep
Majaji 34 Ghana mashakani
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Ufisadi:Majaji 7 wasimamishwa kazi Ghana
10 years ago
Habarileo05 May
Majaji wafunzwa ‘kufunga’ wala rushwa
BAADA ya kupoteza kesi nyingi inazopeleka mahakamani, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imeshtuka na kuleta wataalamu kutoka nje ya nchi kuwafundisha mahakimu, majaji, waendesha mashitaka na wapelelezi wa kesi za rushwa juu ya namna ya kuwasilisha ushahidi ukiwemo ushahidi wa mazingira ambao ni muhimu katika kesi za rushwa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eAkQ2xyNfS580PTZPk4C15rBIzP*TL-o1VxB4z9U4A3y3x8DT99tMvYUgPhLVP3WGULgHROEtCSJ3lfdi0QTBKQvOo-wTubD/kipchacopy7770.gif?width=650)
MWANA HERI KULA MCHICHA KWA FURAHA KULIKO BATA KWA KARAHA!
11 years ago
Habarileo06 May
JK atangaza neema kwa mahakimu, majaji
SERIKALI inatarajiwa kuajiri mahakimu wapya zaidi ya 300 katika mwaka ujao wa fedha 2014/ 2015 na mwaka unaofuata wa 2015 /2016, itaajiri mahakimu wengine 300.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dAcZYyKP6PU/XrUxMlEBFqI/AAAAAAALpeI/IZ4Az6PNFEwwSrl7rSNyOebX8T_olb4VQCLcBGAsYHQ/s72-c/rr.jpg)
MAJAJI 125 WA MABARA MANNE DUNIANI WAFANYA MKUTANO KWA NJIA YA MTANDAO KUJADILI UTOAJI HAKI KWA TEHAMA KUEPUKA MAAMBUKIZI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dAcZYyKP6PU/XrUxMlEBFqI/AAAAAAALpeI/IZ4Az6PNFEwwSrl7rSNyOebX8T_olb4VQCLcBGAsYHQ/s400/rr.jpg)
Na Magreth Kinabo-Mahakama
Majaji 125 kutoka katika mabara manne duniani wamefanya mkutano kwa njia ya mtandao kujadili jinsi ya kuendelea na shughuli za utoaji haki kwa kutumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kuepuka kuenea kwa maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa homa ya mapafu (COVID 19).
Mkutano huo uliandaliwa na Shirika la Miliki Bunifu Duniani (WIPO) ambalo liko chini ya Umoja wa Mataifa (UN), uliofanyika Makao Makuu ya shirika hilo Geneva, kwa njia...
10 years ago
BBCSwahili17 Mar
Majaji 3 nje kwa kutizama video za ngono