Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tamko la Facebook lamtia mashakani

Raia mmoja wa Marekani anayefanya kazi katika milki za kiarabu amekamatwa kwa matamshi aliyochapisha katika mtandao wa facebook

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

'Busu' lamtia mashakani Obama

Barack Obama, ametoa kauli yake kuhusu mwanamume aliyeshikwa na wivu baada ya kumbusu mpenzi wake kwenye mashavu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maoni ya facebook yamtia mashakani

Mahakama ya Singapore imemuhukumu muuguzi mmoja kutoka nchini Ufilipino kifungo cha miezi minne kwa kuchapisha maoni ya uchochezi kuhusu taifa hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeraha lamtia dosari Azarenka

Azarenka ameshindwa kushiriki mara mbili katika mashindano ya Australian Open

 

11 years ago

Mwananchi

Gari la wagonjwa lamtia matatani RC Mahiza

>Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza anadaiwa kuhamisha gari la wagonjwa kutoka Kituo cha Afya cha Kibiti kwenda Zahanati ya Nyamisati kwa ‘shinikizo la wakubwa’.

 

10 years ago

Bongo5

Facebook kuja na mtandao mpya ‘Facebook at Work’

Facebook inaanzisha mtandao wa kijamii kwaajili ya wafanyakazi kuwasiliana na kushirikiana kuhusiana na masuala ya kazi. Facebook at Work utaonekana vile vile kama Facebook ya kawaida, lakini watumiaji watakuwa na uwezo wa kutengenesha akaunti zao binafsi. Watumiaji watakuwa na uwezo wa kuchat na wenzao, kutengeneza mtandao wa kazi na kushare nyaraka mbalimbali. Mtandao huo ambao […]

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:Wanoafadhil wapiganaji mashakani

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kwa pamoja limeamua kuwawekea vikwazo watu wanaowafadhili wapiganaji.

 

9 years ago

BBCSwahili

Majaji 34 Ghana mashakani

Jaji mkuu wa Ghana amehutubia nchi kuhusu kashfa kubwa ya rushwa dhidi ya majaji

 

10 years ago

Mwananchi

Vijana wako mashakani

Inasononesha! Vijana wetu hasa hawa wanaojiita ‘Mastaa’ au wengine wakipenda kujiita kwa kizungu kuwa ni ‘celebrities’ wamezuka na lipi jipya kwa kuitangaza nchi yetu huko duniani? Na je! Taifa linaelekea wapi na kwa minajili gani hasa?

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakeketaji mashakani Uganda

Watu watano wakiwemo wanawake na wanaume wamekamatwa na polisi nchini Uganda kutokana na kuwakeketa wasichana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani